Uchaguzi 2020 Kikwete: Wanaosema Mikoa ya Kusini imesahaulika kimaendeleo hawaijui vizuri mikoa hiyo

Uchaguzi 2020 Kikwete: Wanaosema Mikoa ya Kusini imesahaulika kimaendeleo hawaijui vizuri mikoa hiyo

Kikwete nae asitupotezee muda! Sie tunataka kumtoa nduli ikulu mwaka huu!

Yeye anachotakiwa kutujibu wananchi ni maswali haya tu!!

Kwa nini Yeye , Nyerere, Mkapa na Mwinyi hawakujenga viwanja vya ndege tena vya kimataifa vijijini mwao?

Swali la pili analotakiwa kutujibu ni kuwa Mtu anayempigia kampeni amekuwa anasema nchi imeliwa sana kabla hajawa raisi, Sasa Kikwete atuambie, imeliwa na nani?
 
Ccm imetapakaa nchi zima tunafanya kampeni ili tushinde kwa kishindo kikubwa sana. Siwashagai cdm kufanya mkutano mmoja kwa siku, watu wenye mvuto hakuna.

Kwa sasa ukienda kumwambia mgombea wako haya maneno kwa hakika atakupiga vibao, kwa miaka mitano mfululizo mmekuwa mkimdanganya upinzani umekufa, Sasa anashangaa ngoma ngumu hadi anapaniki, laiti mngeruhusu wapinzani wafanye siasa miaka yote mitano Mgombea wenu angeshajua uelekeo na ugumu wa kampeni utakaomkabili.

Wabaya nyie mmemdanganya akawahonga vyeo sasa anajuta! 😂
 
Nimestaajabu leo baada ya kuona picha ya mama salma akiomba kura kwa kujigalauza kwenye mavumbi kama chatu.
 
Kama kuna siku nilimchukia Kikwete ni siku ya mwananchi..Yanga wanapoteza muda kwenda FIFA. Mzee umezeeka lea wajukuu..mambo ya Yanga acha vijana wafanye kazi na la pili kutuletea huyu Muhutu.
 
Mwaka huu ushindi wa Magufuli utavunja rekodi tokea kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi
 
Mwache ajichanganye wamumkapa badala ya kukaa pembeni pote la mbali anajikonba tena huko
 
Kweli wanasiasa ni vichwa uji..kusini miundombinu tatizo..maji tatizo umeme tatizo..mazao yao mnayafanyia siasa...Lindi ndio mkoa uliosimama kimaendeleo kuliko mikoa yote tz.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nani azuie ccm kufanya shughuli zake za kisiasa?. Tusipofanya kampeni harafu tukashinda urais na viti vingi vya ubunge na udiwani mtapata vimaneno ya kuwadanganya wanatanzania.
Tumetapakaa nchi nzima. Kwa siku Magufuli pekee yake anafanya mikutano karibia 12 mpaka 15. Hapo bado mama Samia na waziri mkuu. Ninyi wenzetu kamkutano kamoja kwa siku.
Kibaya cha jitembeza,
 
Hujui na hujijui. Unafikiri kukariri Amani na Haki ndiyo msahafu? Amani inaweza patikana kwa mlango mwingine.
Najijua sana Mkuu ndiyo maana nimejenga hiyo hoja kuwa hakuna amani bila haki.
Lakini leo nafurahi kukutana nawe mwerevu wa kiwango chako ambaye utanieleza mlango mwingine wa kuiendeleza amani bila kutenda haki. Karibu Mkuu.
 
Ccm imetapakaa nchi zima tunafanya kampeni ili tushinde kwa kishindo kikubwa sanaa.
Siwashagai cdm kufanya mkutano mmoja kwa siku, watu wenye mvuto hakuna.
Mzee Mwinyi naye akisamama kwa dakika tatu tu pale Zanzibar, atakuwa ameua hoja zote za Sheriff Hamad, kwani ni Mwinyi ndiye aliyemleta Hamad kwenye ulingo wa siasa kwa kumfanya Waziri Kiongozi mwaka ule wa 1983 kushika nafasi iliyokuwa imeshikiliwa na Brigadier Ramadhan Haji Fakhi (Wakati huo alikuwa akiitwa Ndugu Ramadhan Haji Fakhi, hakuwahi kutumia title yake ya kijeshi kwenye siasa).
 
Imenibidi nipitie kwanza CV yake huyu 'handsome boy' kumbe ana degree moja na ndio maana anaongea mambo ambayo hayahitaji akili kufikiria.Lindi ipo nyuma sana kimaendeleo,ukienda huko kanda za wenzetu wamepiga hatua ila kusini 'imesimama'.Tumesahahulika ktk hii nchi.Double standards mnayotufanyia siyo ya kawaida.
 
Una uhakika gani hii ni haki? Tena ya kwako? Ukitambua kuwa huna uhakika, ni mwanzo wa kujua hata unayosema ni haki yako ya wezekana siyo haki yako umeelezwa kuwa hii ni haki yako ( kama ilivyo nguo ya kuazimwa haisitili matako)
Kitu kinacho itwa amani hakitokani na prescritions , siku prescritions zikibadilika amani inabadilika.
Sasa utapata wapi amani ya kweli?
Asante Sana mwalimu wangu wa somo la haki. Umekuwa mkali sana labda ndiyo maana sijakuelewa vizuri hata sasa, umenichanganyia na kiingereza humo basi imekuwa tafrani tupu.
Kwa uelewa wangu, haki ni stahiki ya mtu, yaani ni kitu ambacho ni lazima mtu apewe, mfano wa haki ni haki ya kuishi, haki ya kukusanyika, haki ya kutoa mawazo, haki ya kupata habari,ukija Kwenye masuala ya uchaguzi ni haki ya kumchagua unayemtaka,halafu anayepata kura nyingi ana haki ya kutangazwa kuwa mshindi.
Ukiwanyima watu haki zao hizo na nyinginezo zilizopo unakuwa hujawatendea haki, wataanza kuitafuta haki uliyowapora kwa kutumia njia wanayoona inawafaa hata kama ni kwa kuvunja amani. Haki ni kubwa kuliko amani, ukichezea haki za watu katika nchi unacheza na amani ya nchi, na atakayetakiwa kulaumiwa si yule anaye dai haki bali ni yule aliyewanyima watu haki.
Nakusalimu mwalimu wangu wa somo la haki.
 
Mleta Mada amekosea JK hawezi sema hivo! weka picha!

Aliwaletea chuma watanzania sababu walizidi ujinga. eti alishinda angani anakula bata, sasa mlitaka ashinde chalinze mzee anakula mihogo? Kikwete Hoyeee!

Ila naomba usiripigie Kampeni Hili rijamaa la chato! jinamizi baya sana Lina kula damu!! wamesha nyooka hawa wanakukumbuka!

Mama Salma rhuksa tu! tatizo nini? uwezo! si anaweza kuongoza? na ana jisikia , anahitajiwa, kwa nini asipewe mpaka hata u-Rais, wa kwanza Mwanamke TZ awe tu!. au Katiba inakataa?
 
Anatuletea mambo ya historia hapa hatujasahau alivyotuma jeshi kwenda kuchukua gesi ya watu wa kusini huku akila 10% ya ujenzi wa bomba la gesi.

Huyu ndiye wa kumwamini? Tapeli.

Kala kashiba kavimbewa Sasa anacheua moja ya waasisi wa wizi na ufisadi mkubwa unaendelea mpaka leo nchini.
Kumbe wa kusini wana gesi yao
 
Wajenge angalau chuo kimoja pale Lindi maana ni aibu
 
Mwambie jini alilolifuga halitatula sisi tu, nayeye ataliwa.
 
Ukubwa dawa kichwa adimu!
Kuna mambo huwa yananichanga sana yaani sanaa

Kila uchaguzi kuna chama cha Kijani kinadai kinatuletea Tanzania Mpya.

Nafikiri huwa wanamaanisha upya wa matatizo, ujinga na umaskini.

Fikiria kwa miaka 55+ sasa - wanasema tusichague wengine kwa kuwa wataondoa amani lakini wakati chini ya utawala wao wa kiimla tuna WASIOJULIKANA,VIROBA FUKWENI, Disapperance of Azory , kutapeliwa korosho zetu, Kuvunjwa haki za binadamu na sheria mbaya za ovyo ovyo
 
Back
Top Bottom