Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #21
Mimi kwa sasa hivi mambo yangu sio mabaya sana ila ninahofu kubwa na siku zijazo
Nina wake wawili sijui itakiwaje siku zijazo
Kwa sasa haijakuathiri kabisa?Binafsi nahofia sana siku zijazo baada ya Corona kupita na maisha ya kawaida kurejea.