Kila anachosema mwanamke mbele ya mwanaume ni kinyume chake, akisema hampendi Juma jua ni kinyume chake

Kila anachosema mwanamke mbele ya mwanaume ni kinyume chake, akisema hampendi Juma jua ni kinyume chake

Wewe hakikisha hakujui 100% sasa hutaki kuelewa akujue 100% umekwisha, asipokujua km leo una hela au huna ataishi na wewe kwa nidhamu Ila akiwa anajua leo unazo na kesho huna hapo utajua mbinguni kwanini wanasema kuna makao Mazuri sana
Mkuu mke lazima atajua tu kama unazo pesa au pesa hazipo kwasababu mnaishi Pamoja na mmezaa watoto wana miaka Zaidi ya kumi.

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 
Kama kuna kaukweli hivi kuna pisi moja ilikuwa inasumbua and of course alikuwa mkali sasa kwa ile attention walokuwa wakimpa wengine kwanza ikanifanya nikae nae mbali na yeye akaamini kuwa kama tayari anadunia yake na uwa tunaonana tu ila hakuna story siku hiyo akanikuta dukani akaomba nimnunulie soda niliishia kumtazama bila kujibu chochte nikaondoka aisee sikujua nilimpa maswali magumu mimi nimemuonaje mana wengine walimnyenyekea kupita kiasi bila kuomba soda washamnunulia alafu mimi nikamlia buyu.
 
Kama kuna kaukweli hivi kuna pisi moja ilikuwa inasumbua and of course alikuwa mkali sasa kwa ile attention walokuwa wakimpa wengine kwanza ikanifanya nikae nae mbali na yeye akaamini kuwa kama tayari anadunia yake na uwa tunaonana tu ila hakuna story siku hiyo akanikuta dukani akaomba nimnunulie soda niliishia kumtazama bila kujibu chochte nikaondoka aisee sikujua nilimpa maswali magumu mimi nimemuonaje mana wengine walimnyenyekea kupita kiasi bila kuomba soda washamnunulia alafu mimi nikamlia buyu.
Bongo senior wanawake wanakuwa wanyonge sana wakikosa attention, kwahiyo hapo huyo manzi alinyongonyea.
 
Kama kuna kaukweli hivi kuna pisi moja ilikuwa inasumbua and of course alikuwa mkali sasa kwa ile attention walokuwa wakimpa wengine kwanza ikanifanya nikae nae mbali na yeye akaamini kuwa kama tayari anadunia yake na uwa tunaonana tu ila hakuna story siku hiyo akanikuta dukani akaomba nimnunulie soda niliishia kumtazama bila kujibu chochte nikaondoka aisee sikujua nilimpa maswali magumu mimi nimemuonaje mana wengine walimnyenyekea kupita kiasi bila kuomba soda washamnunulia alafu mimi nikamlia buyu.
Hapo ulimwonyesha na aligundua kwamba now days she's nothing to you
 
Hapo ulimwonyesha na aligundua kwamba now days she's nothing to you
Mfano mwanamke kama ulikuwa unamjali na kumpa attention, ukibadilika na ukiiondoa attention unayompa, lazima aumie.

Mwana hapo alimuweza sana huyo manzi, kwasababu wanawake ni viumbe wa hisia unakuta anawaza labda kuna manzi mwengine una ukaribu nae ambaye ni beautiful zaidi yake ndio maana unampotezea na kumkaushia, n.k!
 
Yani kuna mambo meng hapa nayaona juu yako sipati jibu. Najaribu kufikir umri wako ni miaka mingap? Maana kwa akili hizo za kukremisha ulizonazo ni halali mwanamke akushinde...

Pili ulioa malaya unakuja kusema kuwa wanawake wote wapo hivyo...
.
Niishie kukupa pole tu, hakuna namna ingia "kataa ndoa" maana ndoa ishakuburuza na kukuchakaza....
Alichokizungumza ni ukweli lakini wewe akili ndogo umeshindwa kuelewa,, pole sana.
 
Hapo ulimwonyesha na aligundua kwamba now days she's nothing to you
Bad enough mimi kumkalia kimya ni kitendo ambacho kilikuja bila kutarajia mana nilipigwa na butwaa sikuwahi kutarajia kama hata siku moja angekuja hata kunisemesha so ni kama lilikuwa shambulio la ghafla.
 
Bongo senior wanawake wanakuwa wanyonge sana wakikosa attention, kwahiyo hapo huyo manzi alinyongonyea.
Namimi sikufanya kwa kudhamiria ilikuja tu automacally mana sikuwahi tarajia kama ingetokea siku akanisemesha kwa namna alivyokuwa anachukuliwa so kama alinipiga kitu kizito nibaki nisijue nini chakufanya kumbe the same way nimempiga na kitu kizito bila kujua pia since that day akawa akiniona anakuwa mpole anatamani kunisemesha namimi nlipokuja kugundua nimempiga kitu kizito nikawa kiburi ingawa mwanzo hata mimi nilikuwa nawaza kwa namna alivyo alafu kwa pesa ya soda tu si ataniona kavu sana.
 
Bado hamjasema hebu semen ya rohoni ili musife mapema
 
Back
Top Bottom