Kila anayeshabikia mkataba huu hana hata division one ndiyo maana hatuelewani

Kila anayeshabikia mkataba huu hana hata division one ndiyo maana hatuelewani

Kuna kaupumbavu ka uteuzi tu bila interview baadae anaboronga antengua. Anateuwa tena
Yeye anaona ni mchezo, yupo kama shopping hivi.
Hajui alitakiwa awe anapambana na maisha ya Watanzania milioni 60 kufa au kupona.

Nyumbani kwako unaweza kufanya huu ujinga? Ukijua familia yote itakufa? Mkataba kama huu kuuza nyumba ya familia?
 
Crane ni shilling ngapi kwanza. Na je tumeshindwa kununua crane?
Je kwani mkataba usianze wa crane hayo mengine yakafuta?
We jamaa huko serious, Design yenu ndio nyie mnasema nikiwa na Milioni naanzisha biashara ya kuku sijui nitapata kiasi gani etc.

Duniani mkuu Hakuna Kama Dp world, yani hawana Alternative, ukiona mpaka China ambaye hakubali Makampuni ya Nje yafanye kazi kwake Amempa Bandari Dp world ujue anachofanya hata wao hawawezi.

Crane unazoonesha hapo ni mataka taka ya Alibaba, hapa Tunaongelea Meli kupakuliwa kwa chini ya Masaa 48 toka wiki mpaka wiki mbili za sasa, Unaongelea Crane za kisasa zinazobeba Container zaidi ya moja kwa wakati mmoja, Unaongelea logistics za Kuhifadhi maelfu ya Container na Container liwe Visible kupelekwa Destination bila kupangua pangua, Logistic yake hapo sio ya kitoto, unahitaji software za Maana.

Mimi nimefanya kazi ICD inahandle tu Container 300-500 na kivumbi chake unakiona, ukijichanganya tu Container wakati wa kutoka inabidi upangue container kadhaa upate container yako na kila Container linapoguswa na Crane ni 50,000 hio, uzembe kama huo unaweza ingizia Kampuni hasara ya mamilioni.
 
Kwahiyo tupigwe kama wasiojitambua wote. Hizo ndio standards zenu?

Unajua Duba, UAE ilikuwa Jangwa kama Sahara in 1970's.

Kwanini wako hapa? Ni akili kama zako zako na CCM ndio zimewafikisha hapa?

Tambua hivi pia UAE almost 90% ni wageni.

Usimamizi na kusimamia rasilimali zako ndio kila kitu duniani.

Si kweli Dubai ni Matajiri kabla ya Mafuta, halikua jangwa, Dubai sio Qatar ama nchi nyengine zilizotajirika

Na Dubai wametajirika kwa uwekezaji wa nje, na hapa kinachofanyika ni uwekezaji wa Nje tatizo lipo wapi?

Watu wanalalamika mkataba mbovu ila hakuna hata mmoja anaeleta huo mkataba sasa hizi si ni cheap slanders tu?
 
Ukifuatulia vizuri mjadala huu wachangiaji wenye Ushawishi na waidhinishaji wa mkataba huu wenye Ushawishi. Ukiacha wateuliwa wanaoshabikia kikatiba na kichama. Wengi wao Hawana hata division one kwenye matokeo ya form four.

Kwanini hata wizara ya Fedha wakachukuana wale wale wenye matokeo Tata. Kwanini wasichague wasiyo na matokeo Tata?

Hebu wa Jaribu hata faraja Kotta Uwaziri wa Fedha tuone.
Division one na uchambuzi wa Mkataba vinahusiana vipi?
Kila anahaki ya kutoa maoni yake kwa namna alivyosoma na kuuelewa Mkataba, mwisho wa siku hoja yenye nguvu itapewa nafasi ya maamuzi.
 
We jamaa huko serious, Design yenu ndio nyie mnasema nikiwa na Milioni naanzisha biashara ya kuku sijui nitapata kiasi gani etc.

Duniani mkuu Hakuna Kama Dp world, yani hawana Alternative, ukiona mpaka China ambaye hakubali Makampuni ya Nje yafanye kazi kwake Amempa Bandari Dp world ujue anachofanya hata wao hawawezi.

Crane unazoonesha hapo ni mataka taka ya Alibaba, hapa Tunaongelea Meli kupakuliwa kwa chini ya Masaa 48 toka wiki mpaka wiki mbili za sasa, Unaongelea Crane za kisasa zinazobeba Container zaidi ya moja kwa wakati mmoja, Unaongelea logistics za Kuhifadhi maelfu ya Container na Container liwe Visible kupelekwa Destination bila kupangua pangua, Logistic yake hapo sio ya kitoto, unahitaji software za Maana.

Mimi nimefanya kazi ICD inahandle tu Container 300-500 na kivumbi chake unakiona, ukijichanganya tu Container wakati wa kutoka inabidi upangue container kadhaa upate container yako na kila Container linapoguswa na Crane ni 50,000 hio, uzembe kama huo unaweza ingizia Kampuni hasara ya mamilioni.
Of course Viongozi wao kwa miaka 40 Wana vision wanajua Wanakwenda wapi.

DP World, Dubai airport, asilimia 90 ni wageni.

Usimamizi, kusimamia rasilimali za Taifa, kuingia mikataba ya ukweli sio ya kiboya kama hii ya kunufaisha familia chache ndio itatufikifisha level za UAE, Dubai.
 
Kila Rais akiingia lazima ashibe na watu wake wote
Ni tatizo, Rais, Mfalme, Sultan wa UAE anashiba lakini anahakikisha nchi inashiba vizuri.

Tofauti? Uongozi mbovu na mzuri. Kuna uongozi wenye kujali maslahi ya taifa 5, 10,20, 50, 100 later. Wengine chama, madaraka, washkaji, kesho, familia zao tu.

Ndio tofauti.
 
Si kweli Dubai ni Matajiri kabla ya Mafuta, halikua jangwa, Dubai sio Qatar ama nchi nyengine zilizotajirika

Na Dubai wametajirika kwa uwekezaji wa nje, na hapa kinachofanyika ni uwekezaji wa Nje tatizo lipo wapi?

Watu wanalalamika mkataba mbovu ila hakuna hata mmoja anaeleta huo mkataba sasa hizi si ni cheap slanders tu?
Una akili timamu?

Walipata Uhuru lini? Google Dubai in 1970? Compare to Dubai 2023.

Dar es salaam in 1970 to Dar in 2023?
 
halafu hawajawahi kusoma advanced mathematics, sasa hao wanaupeo kweli wa mambo ya kesho?
 
Una akili timamu?

Walipata Uhuru lini? Google Dubai in 1970? Compare to Dubai 2023.

Dar es salaam in 1970 to Dar in 2023?
Wapate Uhuru kwani Walitawaliwa? Mahusiano Baina ya Uingereza na Dubai si ya kikoloni, Hilo ni Eneo la Biashara na Dubai walikua na Ushirikiano na Uingereza kukomesha piracy, in return Uingereza akawa anawalinda Hao watawala wa Dubai.

Na sababu Sasa hivi ni Matajiri sana haimaanishi Zamani walikua Masikini, 1970s Gdp per capita yao ni Around $20,000 sio kubwa kama ya Sasa ila ni kubwa kushinda Nchi zote Za Africa including South Africa.
 
Back
Top Bottom