Kila anayeshabikia mkataba huu hana hata division one ndiyo maana hatuelewani

Kila anayeshabikia mkataba huu hana hata division one ndiyo maana hatuelewani

Kama tz tukiachana na mbeleko nchi itaendelea,kila mtu awajibike kwenye nafasi yake,mashirika hayana faida navmkrurugenzi yupo anakula Bata,hakuna wa kumwajibisha,nafikiria kuanzia maded wa hslmashauri wapatikane kwa interviews ,tuachane na haya Mambo ya kupachika pachika watu hovyo
Wakurugenzi wa mchongo. Mtu anatoka DST anapewa Tanesco bila interview
 
Hi hivi nchi zote dhaifu duniani zenye viongozi kama wewe wa hovyo zitapewa mkataba wa hovyo. Msiojua kusoma chochote.

Nchi makini zitapewa mkataba makini.

Tumeelewana, wanaojitambua hawatapewa vipengele, masharti ya hivyo kama haya.

Utawapa vipengele masharti, makubaliano, mkataba kama haya USA,UK, Netherlands?
Watakutoa nduki na vikwazo juu
 
Bandari ya Dubai ni kampuni ya serikali kama vile tunavyomiliki shirika la Reli. Au air Tanzania
Ndio hivyo au kama Tanesco. Tanesco Ikakuwa kwa ufanisi mkubwa Tanesco ikawa kubwa dunia nzima.

Kama (BP) British Petroleum.

DP World. Tunafail wapi?
 
Ndio hivyo au kama Tanesco. Tanesco Ikakuwa kwa ufanisi mkubwa Tanesco ikawa kubwa dunia nzima.

Kama (BP) British Petroleum.

DP World. Tunafail wapi?
Kila Rais akiingia lazima ashibe na watu wake wote
 
Mkuu Dubai, UAE yote, Singapore,South Korea, Malaysia, wangekubali huu ujinga? Ni level zetu. Tuna rasilimali zaidi zao.

Kwanini hatujiamini?
Kuna kaupumbavu ka uteuzi tu bila interview baadae anaboronga antengua. Anateuwa tena
 
Ukifuatulia vizuri mjadala huu wachangiaji wenye Ushawishi na waidhinishaji wa mkataba huu wenye Ushawishi. Ukiacha wateuliwa wanaoshabikia kikatiba na kichama. Wengi wao Hawana hata division one kwenye matokeo ya form four.

Kwanini hata wizara ya Fedha wakachukuana wale wale wenye matokeo Tata. Kwanini wasichague wasiyo na matokeo Tata?

Hebu wa Jaribu hata faraja Kotta Uwaziri wa Fedha tuone.
Wanaopinga wote ni division one?
 
Ukifuatulia vizuri mjadala huu wachangiaji wenye Ushawishi na waidhinishaji wa mkataba huu wenye Ushawishi. Ukiacha wateuliwa wanaoshabikia kikatiba na kichama. Wengi wao Hawana hata division one kwenye matokeo ya form four.

Kwanini hata wizara ya Fedha wakachukuana wale wale wenye matokeo Tata. Kwanini wasichague wasiyo na matokeo Tata?

Hebu wa Jaribu hata faraja Kotta Uwaziri wa Fedha tuone.
Hivi wabongo hawawez kuendesha migodi yote kama wakiwezeshwa nyenzo na elimu? Hawawez endesha uchimbaj wa wese na gas kama wakipewa elimu na nyenzo toka kwa mdau mkubwa gavoo?
 
Hivi wabongo hawawez kuendesha migodi yote kama wakiwezeshwa nyenzo na elimu? Hawawez endesha uchimbaj wa wese na gas kama wakipewa elimu na nyenzo toka kwa mdau mkubwa gavoo?
Wanaopata fursa ni Vilaza wa napiga kelele na wanafistna. Kwasababu vipanga Hawana muda wa kurumbana ana wanabuni mbinu zingine wanaenda nchi za nje kufundisha vyo vikuu. Tunabakia mambulula
 
Hivi wabongo hawawez kuendesha migodi yote kama wakiwezeshwa nyenzo na elimu? Hawawez endesha uchimbaj wa wese na gas kama wakipewa elimu na nyenzo toka kwa mdau mkubwa gavoo?
Tunaweza ila ndo hatujawekeza kwenye kuleta wataalamu nchini kwa ajili ya kutoa elimu kwa vijana. Tumekomaa na elimu ya kukariri misamiati
 
Hi hivi nchi zote dhaifu duniani zenye viongozi kama wewe wa hovyo zitapewa mkataba wa hovyo. Msiojua kusoma chochote.

Nchi makini zitapewa mkataba makini.

Tumeelewana, wanaojitambua hawatapewa vipengele, masharti ya hivyo kama haya.

Utawapa vipengele masharti, makubaliano, mkataba kama haya USA,UK, Netherlands?
Sehemu zote Naongelea msumbiji, Congo, Djibout, Senegal etc kama unaona hawa sio wenzetu sawa, ila sijatolea mfano huko Uk na Netherland.

Pili watu wote wanaongelea mkataba na wao wamesikia tu kwa wenzao, hakuna hata leak ya huo mkataba.
 
Sehemu zote Naongelea msumbiji, Congo, Djibout, Senegal etc kama unaona hawa sio wenzetu sawa, ila sijatolea mfano huko Uk na Netherland.

Pili watu wote wanaongelea mkataba na wao wamesikia tu kwa wenzao, hakuna hata leak ya huo mkataba.
Kwahiyo tupigwe kama wasiojitambua wote. Hizo ndio standards zenu?

Unajua Dubai, UAE ilikuwa Jangwa kama Sahara in 1970's.

Kwanini wako hapa? Ni akili kama zako zako na CCM ndio zimewafikisha hapa?

Tambua hivi pia UAE almost 90% ni wageni.

Usimamizi na kusimamia rasilimali zako ndio kila kitu duniani.

 
Back
Top Bottom