Kila anayeshabikia mkataba huu hana hata division one ndiyo maana hatuelewani

Kila anayeshabikia mkataba huu hana hata division one ndiyo maana hatuelewani

Ukifuatulia vizuri mjadala huu wachangiaji wenye Ushawishi na waidhinishaji wa mkataba huu wenye Ushawishi. Ukiacha wateuliwa wanaoshabikia kikatiba na kichama. Wengi wao Hawana hata division one kwenye matokeo ya form four.

Kwanini hata wizara ya Fedha wakachukuana wale wale wenye matokeo Tata. Kwanini wasichague wasiyo na matokeo Tata?

Hebu wa Jaribu hata faraja Kotta Uwaziri wa Fedha tuone.

Hata yule mwenye njaa? Hii dharau sasa[emoji87]
 
Watu milioni 60 wanawekwa bandarini? Marekani ina watu wangapi, hujasikia hao DP World wako na kule Marekani? Hujasikia Marekani ndio anongoza uchumi wa dunia? Kwa huyo sasa DP World yupo. Tumia akili hata km ni ndogo kufikiri
DP world wamejenga hizo Bandari wao. Bandari zingine zipo chini ya serikali ya USA
 
Tuanzie na Rais. Angekuwa na elimu ya kueleweka tusingeuza Ngorongoro, loliondo, na huu mkataba wenyewe serikali hawajui hawauelewi wamesaini nini?
Hivi Kuna mwenye cv ya elimu ya bi mdashi,mie sijawah iona,nasikisikia tu ni fomufoo felia,ni kweli?
 
Wasije nifutia vyeti ,Ila wengi Ni vilaza sana,wakiongea kwa sauti kubwa unaweza kujua waakili kichwani,laakini bongo zao Ni Kama tunda za ubuyu
 
Ukifuatulia vizuri mjadala huu wachangiaji wenye Ushawishi na waidhinishaji wa mkataba huu wenye Ushawishi. Ukiacha wateuliwa wanaoshabikia kikatiba na kichama. Wengi wao Hawana hata division one kwenye matokeo ya form four.

Kwanini hata wizara ya Fedha wakachukuana wale wale wenye matokeo Tata. Kwanini wasichague wasiyo na matokeo Tata?

Hebu wa Jaribu hata faraja Kotta Uwaziri wa Fedha tuone.
Mi naona kinyume chake. Mkataba huu ni tester ya uelewa wa watanzania. Wengi wetu hawajyi chochote kuhusu mambo ya Biashara, Uwekezaji wa kimataifa na general understanding ya global investment opportunities and challenges. Kwa kifupi umetuvua nguo na huko kwa wenzetu tunaonekana kituko.
 
Hawatakiwagwi popote hao div 1 , wanachukuliwa kama threats ,waajiri wakishaona ona tuu vyeti vya hvyo unawekwa benchi, wasomi na brain creams za hii nchi ningekuwa zinapewa fursa na kutumika ipasavyo, tusingefika mahala pabaya hivi yaani tungekuwa mbali sana!!
 
Kama tz tukiachana na mbeleko nchi itaendelea,kila mtu awajibike kwenye nafasi yake,mashirika hayana faida navmkrurugenzi yupo anakula Bata,hakuna wa kumwajibisha,nafikiria kuanzia maded wa hslmashauri wapatikane kwa interviews ,tuachane na haya Mambo ya kupachika pachika watu hovyo
 
Mi naona kinyume chake. Mkataba huu ni tester ya uelewa wa watanzania. Wengi wetu hawajyi chochote kuhusu mambo ya Biashara, Uwekezaji wa kimataifa na general understanding ya global investment opportunities and challenges. Kwa kifupi umetuvua nguo na huko kwa wenzetu tunaonekana kituko.
Tena tumewageuzia makalio
 
Kwakweli tumeamua kuwakabidhi nchi wanyang'anyi.... So painful..... Tulio amini kutetewa nao ndio wamekuwa vinara wa kutunyonga hadharani mchana kweupe. Hivi hao wawakilishi wetu mjengoni hawajaliona hili...?
Wawakilishi wapii? Hawahawa std 7 ,form 4 failures na degree za michongo?
 
Tena tumewageuzia makalio
Mimi namaanisha tunayolalmikia hayana msingi wowote zaidi ya ujinga tu. Sasa kweli mtu umesoma hadi umefikia PhD level then umeishi Tanzania na kuangalia namna regimes zinavyobadilisha sera zao katika uwekezaji. Utakuwa mpuuzi kuhoji why investor asitake Guarantee framework ya kulinda uwekezaji wake?
 
Mechanism ya kupata ni ipi mbona hakuna kiashiria cha mapato kuongezeka. Je wanabomoa na kujenga Bandari kubwa kabisa Duniani? Wanatangaza vyombo vya habari kuvutia Meli zije Dar es salaam port. Mnatupa matumaini wataleta hela kivipi au wanakuja na Uchawi upi kuongeza mpato
Sehemu zote lazima Dp world Atie mpunga na Anakua na step.

1. Step ya kwanza huwa ni kubadili mashine za Kupakia na kupakua,

2. Biashara ikiwa nzuri anachimba Bandari ama kuhamia kwenye Kina kirefu.

Akipewa Bandari kitu cha kwanza utaona Gati zinakua Improved.
 
Mimi namaanisha tunayolalmikia hayana msingi wowote zaidi ya ujinga tu. Sasa kweli mtu umesoma hadi umefikia PhD level then umeishi Tanzania na kuangalia namna regimes zinavyobadilisha sera zao katika uwekezaji. Utakuwa mpuuzi kuhoji why investor asitake Guarantee framework ya kulinda uwekezaji wake?
Kasome kilichomkuta Dp world Djibout, 2006 wamepewa Bandari, 2009 wakawajengea Bonge la Bandari, Djibout uchumi ukapaa Ghafla toka chini ya dola 1000 hadi kufika dola 3000 kwa kila mwananchi. Djibout walikua wanadaiwa na China, wakamfanyia figisu Dp world kipande cha Bandari wakampa mchina hadi leo kesi haziishi mahakamani

Screenshot_20230619-135855_1.png


Sasa hivi zaidi ya nusu ya Uchumi wa Djibout unatokana na Bandari.

Kwa hali hii Lazima mwekezaji aweke vipengele vya kumlinda
 
Sehemu zote lazima Dp world Atie mpunga na Anakua na step.

1. Step ya kwanza huwa ni kubadili mashine za Kupakia na kupakua,

2. Biashara ikiwa nzuri anachimba Bandari ama kuhamia kwenye Kina kirefu.

Akipewa Bandari kitu cha kwanza utaona Gati zinakua Improved.
Crane ni shilling ngapi kwanza. Na je tumeshindwa kununua crane?
Je kwani mkataba usianze wa crane hayo mengine yakafuta?
 

Attachments

  • Screenshot_20230619-144148.png
    Screenshot_20230619-144148.png
    211 KB · Views: 1
Nipe sababu kwanini tutoe bandari
Dubai bandari yao kubinafsishwa kwa makubaliano kama haya?

Nchi yoyote duniani wanaweza kukaa pale waandishi wao wao wa habari, wabunge, Mawaziri, viongozi wa dini kuitetea upuuzi kama huu.

Rais wao kuwa kimya. Kama hiki kitu hakimhusu kama Ngorongoro, umeme, tozo, mfumuko wa bei, machinga?
 
Kasome kilichomkuta Dp world Djibout, 2006 wamepewa Bandari, 2009 wakawajengea Bonge la Bandari, Djibout uchumi ukapaa Ghafla toka chini ya dola 1000 hadi kufika dola 3000 kwa kila mwananchi. Djibout walikua wanadaiwa na China, wakamfanyia figisu Dp world kipande cha Bandari wakampa mchina hadi leo kesi haziishi mahakamani

View attachment 2662243

Sasa hivi zaidi ya nusu ya Uchumi wa Djibout unatokana na Bandari.

Kwa hali hii Lazima mwekezaji aweke vipengele vya kumlinda
Sasa kwanini wasichue Bandari kilwa wakajenga Bandari harafu ikashindana na ya DSM
 
Dubai bandari yao kubinafsishwa kwa makubaliano kama haya au nchi yoyote duniani wanaweza kukaa pale waandishi wao wao wa habari, wabunge, Mawaziri, viongozi wa dini kuitetea upuuzi kama huu.

Rais wao kuwa kimya. Kama hiki kitu hakimhusu kama Ngorongoro, umeme, tozo, mfumuko wa bei, machinga?
Bandari ya Dubai ni kampuni ya serikali kama vile tunavyomiliki shirika la Reli. Au air Tanzania
 
Kasome kilichomkuta Dp world Djibout, 2006 wamepewa Bandari, 2009 wakawajengea Bonge la Bandari, Djibout uchumi ukapaa Ghafla toka chini ya dola 1000 hadi kufika dola 3000 kwa kila mwananchi. Djibout walikua wanadaiwa na China, wakamfanyia figisu Dp world kipande cha Bandari wakampa mchina hadi leo kesi haziishi mahakamani

View attachment 2662243

Sasa hivi zaidi ya nusu ya Uchumi wa Djibout unatokana na Bandari.

Kwa hali hii Lazima mwekezaji aweke vipengele vya kumlinda
Hi hivi nchi zote dhaifu duniani zenye viongozi kama wewe wa hovyo zitapewa mkataba wa hovyo. Msiojua kusoma chochote.

Nchi makini zitapewa mkataba makini.

Tumeelewana, wanaojitambua hawatapewa vipengele, masharti ya hivyo kama haya.

Utawapa vipengele masharti, makubaliano, mkataba kama haya USA,UK, Netherlands?
 
Back
Top Bottom