Kila dalili zinaonesha Bwawa la Nyerere kuhujumiwa na wapigaji ili kupata kile wangekosa chini ya Hayati Magufuli

Kila dalili zinaonesha Bwawa la Nyerere kuhujumiwa na wapigaji ili kupata kile wangekosa chini ya Hayati Magufuli

Kuchelewa kufunguliwa mradi wa bwawa la Nyerere kwa hali yoyote ni njama ya wale ambao mradi kama huo ungewaingizia binafsi mabilioni kwa upigaji au wataathirika upigaji wao kwa mradi mkubwa wa hydro kuzalisha umeme megawati 2000 na zaidi. Kuna maajenti wa mabeberu wa kigeni wako tayari kwa utumishi kwa faida yao na mabwana zao.

Nchi kama tanzania ni marufuku kujitosheleza umeme na ni marufuku kua na umeme wa bei za chini kama kwenye nchi zilizoendelea. Sababu ni kuwepo mirija kila kona. Mirija midogomidogo ya wapigaji wenyeji hatimae inaunganika kua mabomba kwenda ng'ambo ulaya na marekani. Umeme wa gharama ya chini inajulikana ni kivutio kikubwa kwa uwekezaji kwenye viwanda. Maadui hawalitaki hilo. Hawataki tuendelee.

Baada ya magufuli kufa tumeona kila dalili kuonesha bwawa la nyerere litachelewa na kwamba kuna kosa hili na lile kwa hivyo litachelewa. Yaani wapigaji baada ya kujipanga wanasanifu waleje maana mradi uliyokua hautakiwi tayari upo.

Tungemshauri mama aache kuwaamini watu aliyowatosa magufuli vinginevyo watatuliza kama taifa kutokana na miradi mikubwa aliyoianzisha magufuli.

Watalihujumu taifa maana hawakubali miradi kama hiyo ipite kwa gharama halali bila wao kulamba. Pia wanafuata maelekezo ya mabebeberu wa nje ni miradi gani tu nchi inaruhusiwa kufanya.

Miradi ile tu ina maslahi na uchumi za nchi za kibeberu na ni unyonyaji wala haileti maendeleo na uhuru kwa nchi.
Sukuma Gang wenzio ndo wamekutuma uje uwaombee kwa Mama warudishwe!?
 
..kabudi si ndio alimdanganya magufuli sasa tunashtakiwa na kulipishwa mabilioni ya fedha? wewe unaona huyo ni mtu wa maana?
Alimdamganya nini au alimshauri sawa tu. Vitisho tu vya mashtaka ila ukiwa na washauri wapigaji mnashtakiwa na kushindwa. Mbona wenyekushitaki wamefungua mashitaka baada ya kuona hakuna tena magufuli?
 
Alimdamganya nini au alimshauri sawa tu. Vitisho tu vya mashtaka ila ukiwa na washauri wapigaji mnashtakiwa na kushindwa. Mbona wenyekushitaki wamefungua mashitaka baada ya kuona hakuna tena magufuli?

..kesi zilifunguliwa tangu magufuli akiwa raisi.

..magufuli aliitia nchi hasara, na alikuwa anakwenda kutuzamisha huku tukimuimbia na kumpamba.
 
Umeishaambiwa mradi wa umeme wa bwawa la Nyerere umefika asilimia 90 kuisha,endelea kuwa na subira,Kila jambo lina wakati wake.
 
Kuchelewa kufunguliwa mradi wa bwawa la Nyerere kwa hali yoyote ni njama ya wale ambao mradi kama huo ungewaingizia binafsi mabilioni kwa upigaji au wataathirika upigaji wao kwa mradi mkubwa wa hydro kuzalisha umeme megawati 2000 na zaidi. Kuna maajenti wa mabeberu wa kigeni wako tayari kwa utumishi kwa faida yao na mabwana zao.

Nchi kama tanzania ni marufuku kujitosheleza umeme na ni marufuku kua na umeme wa bei za chini kama kwenye nchi zilizoendelea. Sababu ni kuwepo mirija kila kona. Mirija midogomidogo ya wapigaji wenyeji hatimae inaunganika kua mabomba kwenda ng'ambo ulaya na marekani. Umeme wa gharama ya chini inajulikana ni kivutio kikubwa kwa uwekezaji kwenye viwanda. Maadui hawalitaki hilo. Hawataki tuendelee.

Baada ya magufuli kufa tumeona kila dalili kuonesha bwawa la nyerere litachelewa na kwamba kuna kosa hili na lile kwa hivyo litachelewa. Yaani wapigaji baada ya kujipanga wanasanifu waleje maana mradi uliyokua hautakiwi tayari upo.

Tungemshauri mama aache kuwaamini watu aliyowatosa magufuli vinginevyo watatuliza kama taifa kutokana na miradi mikubwa aliyoianzisha magufuli.

Watalihujumu taifa maana hawakubali miradi kama hiyo ipite kwa gharama halali bila wao kulamba. Pia wanafuata maelekezo ya mabebeberu wa nje ni miradi gani tu nchi inaruhusiwa kufanya.

Miradi ile tu ina maslahi na uchumi za nchi za kibeberu na ni unyonyaji wala haileti maendeleo na uhuru kwa nchi.
Yaani mnavyomshauri huyo Mama yenu ni kama vile mnadhani hayajui hayo unayoyasema. Mpaka wewe umejua hilo, unaamini kabisa huyo maza hajui? Huoni kama anaweza kuwa mnufaika? Acheni unafiki
 
Tupe ushaidi kama ni kweli gas inazalisha 70% ya umeme unaotumika nchini ? nini sasa sababu ya mgao?
Screenshot_20230307_220921.jpg

Source: TANESCO strategic plan 2020-25.

nini sasa sababu ya mgao?
Sasa hili ndio swali la kuuliza sio eti ooh Bwawa linahujumiwa na blah blah zingine. Incompetence ya TANESCO ipo miaka yote tusipende Kila failure tuseme ni hujuma ya waziri fulani sijui mabeberu as if bila hujuma Kuna kitu tumewahi Fanya vizuri.

Mfano NIDA nani anahujumu?? Yaani kazi ya kuchapisha vitambulisho tushindwe wenyewe alafu lawama tupeleke kwa wasiohusika?
 
View attachment 2755613
Source: TANESCO strategic plan 2020-25.


Sasa hili ndio swali la kuuliza sio eti ooh Bwawa linahujumiwa na blah blah zingine. Incompetence ya TANESCO ipo miaka yote tusipende Kila failure tuseme ni hujuma ya waziri fulani sijui mabeberu as if bila hujuma Kuna kitu tumewahi Fanya vizuri.

Mfano NIDA nani anahujumu?? Yaani kazi ya kuchapisha vitambulisho tushindwe wenyewe alafu lawama tupeleke kwa wasiohusika?
Hao wenyewe , wenye kushindwa kuongoza ni Nani,na kwanini Hawasimami ipasavyo.
Hao hao walipokuwa mazingira walisema stiggler haifai, walipo enda nishati , wakaenda kushindwa kusimamia, na kujaribu kufanya mabadiliko, ambayo sasa Tuna upungufu WA umeme sio mgao
 
wenyewe , wenye kushindwa kuongoza ni Nani,na kwanini Hawasimami ipasavyo
Hapa naongelea competence na tatizo hili ni la kimfumo. Ajira za serikali ni za kudumu hata ukiharibu unahamishwa tu taasisi so probability ya watu kufanya madudu ni kubwa akijua hamna la kumfanya lazima ufanisi uwe mdogo.

Na hii sio lawama kwa TANESCO tu ni pote angalia TTCL, TANESCO, TRA, TPA n.k kote huko ni ufanisi mdogo. So kuanza kulaumu ni hujuma au ni January ndio chanzo sio sahihi maana ripoti ya CAG ipo wazi madudu yalikua mengi wizara zote so tukiacha kushambulia personalities ndio tutatibu tatizo.
 
Kuchelewa kufunguliwa mradi wa bwawa la Nyerere kwa hali yoyote ni njama ya wale ambao mradi kama huo ungewaingizia binafsi mabilioni kwa upigaji au wataathirika upigaji wao kwa mradi mkubwa wa hydro kuzalisha umeme megawati 2000 na zaidi. Kuna maajenti wa mabeberu wa kigeni wako tayari kwa utumishi kwa faida yao na mabwana zao.

Nchi kama tanzania ni marufuku kujitosheleza umeme na ni marufuku kua na umeme wa bei za chini kama kwenye nchi zilizoendelea. Sababu ni kuwepo mirija kila kona. Mirija midogomidogo ya wapigaji wenyeji hatimae inaunganika kua mabomba kwenda ng'ambo ulaya na marekani. Umeme wa gharama ya chini inajulikana ni kivutio kikubwa kwa uwekezaji kwenye viwanda. Maadui hawalitaki hilo. Hawataki tuendelee.

Baada ya magufuli kufa tumeona kila dalili kuonesha bwawa la nyerere litachelewa na kwamba kuna kosa hili na lile kwa hivyo litachelewa. Yaani wapigaji baada ya kujipanga wanasanifu waleje maana mradi uliyokua hautakiwi tayari upo.

Tungemshauri mama aache kuwaamini watu aliyowatosa magufuli vinginevyo watatuliza kama taifa kutokana na miradi mikubwa aliyoianzisha magufuli.

Watalihujumu taifa maana hawakubali miradi kama hiyo ipite kwa gharama halali bila wao kulamba. Pia wanafuata maelekezo ya mabebeberu wa nje ni miradi gani tu nchi inaruhusiwa kufanya.

Miradi ile tu ina maslahi na uchumi za nchi za kibeberu na ni unyonyaji wala haileti maendeleo na uhuru kwa nchi.
Na huo ndio ukweli wenyewe !!
 
View attachment 2755613
Source: TANESCO strategic plan 2020-25.


Sasa hili ndio swali la kuuliza sio eti ooh Bwawa linahujumiwa na blah blah zingine. Incompetence ya TANESCO ipo miaka yote tusipende Kila failure tuseme ni hujuma ya waziri fulani sijui mabeberu as if bila hujuma Kuna kitu tumewahi Fanya vizuri.

Mfano NIDA nani anahujumu?? Yaani kazi ya kuchapisha vitambulisho tushindwe wenyewe alafu lawama tupeleke kwa wasiohusika?
Nikuulize swali. Kwa nini iwezekane vitambulisho vya mpiga kura inawezekana kuchapwa na kupewa wote umri miaka 18 waliyojiandikisha kwa muda mfupi ila watu hao hao ishindikane kuwapa vitambulisho vya taifa miaka mingi tu imepita sasa. Ukweli kuna watu wananufaika na kutokua na vitambulisho watu.
Unasema tunasingizia ubeberu kila kitu. Unafikiri tunakosea? Ubeberu unaanzia ndani kisha kujiuza kwa ubeberu wa kimataifa unaotafuta siku zote washirika. Usifikiri una akili sana kuliko sisi wenye msingi wa kufikiri kuhusu chanzo cha matatizo yetu yako nje. Kwa maoni yetu mama kavuruga nchi kuitoa kwenye njia sahihi ya kimagufuli. Uzembe wizi upigaji na hata usaliti wa nchi vimerejea kwa kasi.
 
Hivi kipi ambacho serikali ya CCM inakiweza? Kwanini Kila mkifeli lawama ni kwa mabeberu au "washauri wa Rais" yaani hakunaga failure yoyote mnakubali ni udhaifu wenu.

Mbona TTCL imekufa ni mabeberu? Mbona ATCL ni hasara Kila siku ni mabeberu? Mbona mwendokasi imefeli kuwa na ufanisi nao ni mabeberu? Why uzembe mfanye wenyewe alafu msingizie mabeberu?

Nachosema hapa kama wazungu au huyo January angetaka kuhujumu umeme basi mabomba ya gesi yangelipuliwa maana umeme wa Gesi ndio unazalisha 70% ya umeme wa Tanzania. Sasa why mtu ahujumu umeme wa Maji ilihali wa gesi ambao ndio tunategemea usiguswe?

Tuache propaganda na CCM mjifunze kuwajibika kwa failures zenu.
Sijui hata kama unatuelewa. Januari alipue mabomba ya gesi kwa umeme ya kazi gani? Kwani yeye hataki huo uwaziri wa nishati? Mtu ni mpigaji atapigaje akibomoa?🤣. Simumesikia wakipanga ununuzi kufuru. Mita za papo kwa papo, kurepea mtandao wa usambazaji bilioni 11 etc etc tenda kibao... Huku umeme hakuna na bei na maharage wake wamesema hawashushi kukidhi wasia wa magufuli.🏃🏃
 
Kuchelewa kufunguliwa mradi wa bwawa la Nyerere kwa hali yoyote ni njama ya wale ambao mradi kama huo ungewaingizia binafsi mabilioni kwa upigaji au wataathirika upigaji wao kwa mradi mkubwa wa hydro kuzalisha umeme megawati 2000 na zaidi. Kuna maajenti wa mabeberu wa kigeni wako tayari kwa utumishi kwa faida yao na mabwana zao.

Nchi kama tanzania ni marufuku kujitosheleza umeme na ni marufuku kua na umeme wa bei za chini kama kwenye nchi zilizoendelea. Sababu ni kuwepo mirija kila kona. Mirija midogomidogo ya wapigaji wenyeji hatimae inaunganika kua mabomba kwenda ng'ambo ulaya na marekani. Umeme wa gharama ya chini inajulikana ni kivutio kikubwa kwa uwekezaji kwenye viwanda. Maadui hawalitaki hilo. Hawataki tuendelee.

Baada ya magufuli kufa tumeona kila dalili kuonesha bwawa la nyerere litachelewa na kwamba kuna kosa hili na lile kwa hivyo litachelewa. Yaani wapigaji baada ya kujipanga wanasanifu waleje maana mradi uliyokua hautakiwi tayari upo.

Tungemshauri mama aache kuwaamini watu aliyowatosa magufuli vinginevyo watatuliza kama taifa kutokana na miradi mikubwa aliyoianzisha magufuli.

Watalihujumu taifa maana hawakubali miradi kama hiyo ipite kwa gharama halali bila wao kulamba. Pia wanafuata maelekezo ya mabebeberu wa nje ni miradi gani tu nchi inaruhusiwa kufanya.

Miradi ile tu ina maslahi na uchumi za nchi za kibeberu na ni unyonyaji wala haileti maendeleo na uhuru kwa nchi.
Uyo Mama atafanya nini wakati na yeye katekwa!
 
..kabudi si ndio alimdanganya magufuli sasa tunashtakiwa na kulipishwa mabilioni ya fedha? wewe unaona huyo ni mtu wa maana?
Usiongee kama Kasuku,be specific with evidence Kabudi alimdanganya Magufuli kwenye issue ipi.
Usisahau pia Katiba yetu inasema Rais halazimiki kufuata ushauri utakaotolewa na mtu yoyote,kama alimshauri hakusilizwa Je!
 
..kabudi amemponza magufuli.

..kuna kesi 11 zimefunguliwa ICSD dhidi ya Tanzania na hasara yake inakadiriwa kuwa matrilioni ya shilingi.

..tayari tumeshindwa kesi 4 na matumaini ya kutoshindwa zilizosalia ni madogo.

..makesi hayo yametokana na ushauri mbaya wa Prof.Kabudi na Prof.Kilangi ambao walikuwa waziri wa sheria na mwanasheria mkuu.
Usipayuke tu Mkuu, Katiba yetu inampa mamlaka Rais kutopokea ushauri wa mtu yeyote.Mimi naamini walishauri ila Magufuli na yeye alikuwa na maamuzi yake ya kukurupuka wakati fulani.
 
Sijui hata kama unatuelewa. Januari alipue mabomba ya gesi kwa umeme ya kazi gani? Kwani yeye hataki huo uwaziri wa nishati? Mtu ni mpigaji atapigaje akibomoa?[emoji1787]. Simumesikia wakipanga ununuzi kufuru. Mita za papo kwa papo, kurepea mtandao wa usambazaji bilioni 11 etc etc tenda kibao... Huku umeme hakuna na bei na maharage wake wamesema hawashushi kukidhi wasia wa magufuli.[emoji125][emoji125]
January alimuambia Bi.Mchele kuwa anataka kuifumua gridi ya taifa kwa trilioni 11![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
..kesi zilifunguliwa tangu magufuli akiwa raisi.

..magufuli aliitia nchi hasara, na alikuwa anakwenda kutuzamisha huku tukimuimbia na kumpamba.
Kwani kufunguliwa kesi ndio kushindwa au kuzama? Sasa unataka nchi tuwe watiifu kwa dhuluma kwa kua tutashitakiwa tukichukua hatua kujinasua? Kushitakiwa ni jambo linaweza kutokea kufuatana na hao dhulumati wakiona uwezekano wa kushinda. Nchi ikiwa na wanasheria wa ovyo au wapenda rushwa utashindwa hata kama una haki.
 
January alimuambia Bi.Mchele kuwa anataka kuifumua gridi ya taifa kwa trilioni 11![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na Bi. Mchele akakubali🤣😂🤸💃
 
Back
Top Bottom