Kila dalili zinaonesha Bwawa la Nyerere kuhujumiwa na wapigaji ili kupata kile wangekosa chini ya Hayati Magufuli


..haya mambo hayaendeshwi kwa emotions, yanahitaji maamuzi yanayopima faida na hasara. Sasa katika hili Magufuli alidanganywa na Kabudi na Kilangi matokeo yake nchi imeingia hasara kubwa zaidi.
 
Usiongee kama Kasuku,be specific with evidence Kabudi alimdanganya Magufuli kwenye issue ipi.
Usisahau pia Katiba yetu inasema Rais halazimiki kufuata ushauri utakaotolewa na mtu yoyote,kama alimshauri hakusilizwa Je!

..kama Kabudi alishauri na hakusililizwa basi alipaswa kujiuzulu.

..kwa msingi huo Magufuli, Kabudi, na Kilangi, ndio waliosababisha Tanzania iburuzwe ICSD na kuhukumiwa kulipa mabilioni ya fedha.
 
Huyo niliyem quote anasema Bwawa linahujumiwa na January ndio nikauliza why asihujumu gesi inayofua 70% ya umeme wa Tanzania aje kuhangaika na umeme wa Maji?

Yaani mtu aibe maharage wakati Kuna nyama? Nlichogundua wengi mnapinga hata hamjui mnapinga nini. TANESCO is incompetent kama ilivyo taasisi zote za umma Sasa why muingiza hujuma sijui mabeberu.

Mnashangaza sana
 
Huku umeme hakuna na bei na maharage wake wamesema hawashushi kukidhi wasia wa magufuli
JPM mwanasiasa tu Ile uwekezaji wa trillion 6 hauwezi ukashusha tu bei wakati operating costs ni kubwa na mikopo lazima ilipwe. Hata SGR nauli ni bei kubwa, bei hushuka baada ya mtaji kurudi hakuna shortcut hizo alizowadanganya JPM.

Mbona aliwadanganya kitambulisho cha machinga kinadhaminika kuchukua mkopo benki!! JPM was a fraud
 
Ndio maana nikauliza nyie mbona hamsemi NIDA inahujumiwa na waziri wa mambo ya ndani au mabeberu? Incompetence Iko ofisi zote za serikali kuanzia TTCL mpaka Bandari hadi mnataka mkodishe sekta binafsi.

Nashindwa kupata logic yenu kabisa. Mnamshambulia mtu alafu makosa hayo hayo yapo wizara zote mpo kimya.
 
Kuna njia nyingi za kudhibiti mikataba mibovu kwa kutumia akili.
Wote wanaofanya shughuli zao nchini mwako unaweza kuwadhibiti kwa njia rahisi mpaka wafunge virago, changamoto ni siasa na mbaya zaidi wengi wa wanasiasa wana madaraka ambayo huwalevya na hivyo kujitangaza kwamba wana nguvu kuliko yeyote.
Serikali ikiamua kuwanyima ushirikiano awekezaji watashindwa kuendeleza mikataba. Ingefanya waone mazingira siyo rafiki.
 
Atcl, Ttcl zilishamili kipindi Cha magufuli .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…