Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #21
Kipindi nikiwa form 4 nilikuwa nimemaliza Kila mafunzo hivo Ili tupewe cheti Cha TYCS Ilikuwa lazima tupate kipaimara kwanza. Siku askofu amekuja parokiani Kwa ajiri ya kutupia kipaimara nilkuwa nikiwa mgonjwa nipo kcmc moshi nimelazwa baada ya kutoka kule na kumaliza shule ujana ukachukua nafasi Hadi naona na kufunga ndoa ni jitihafa za wazazi tu kuwa lazima tufunge ndoa maana wangekufungiwa kupata sacrament.Kwa nini ulichekewa kupata kipaimara?Nakuuliza kama mlei mkongwe.
Hamia uzunguni..
On a serious note.. Nyimbo wanazo piga kwenye spika zao utadhanni ni masebene ya zaire huko
Wewe siku moja kwetu kuanzia alhamisi ijuma juma mosi hadi jpili wanakesha loh!!! Mpaka unatamani uhame sehemu, ila tu kwasbb ni dini za mihemuko hawawezi kukaa miaka mingi wakipata mtaji watasepa tu, hilo ndo linatupa moyo.
Vema na pole kwa kuumwa.Mungu ni mwema ingawa leo haujaenda kanisani kama mimi.Kipindi nikiwa form 4 nilikuwa nimemaliza Kila mafunzo hivo Ili tupewe cheti Cha TYCS Ilikuwa lazima tupate kipaimara kwanza. Siku askofu amekuja parokiani Kwa ajiri ya kutupia kipaimara nilkuwa nikiwa mgonjwa nipo kcmc moshi nimelazwa baada ya kutoka kule na kumaliza shule ujana ukachukua nafasi Hadi naona na kufunga ndoa ni jitihafa za wazazi tu kuwa lazima tufunge ndoa maana wangekufungiwa kupata sacrament.
Kwa maelezo hayo mkuu nadhan umenisoma
Vema na pole kwa kuumwa.Mungu ni mwema ingawa leo haujaenda kanisani kama mimi.
Nikujibu vipi mkuu?Kulala kwako kunafaidisha Nini hii nchi?
Kupunguza idadi ya vichaa.Unajua kwamba ukikosa usingizi kwa muda mrefu unaelekea kuwa chizi?Kulala kwako kunafaidisha Nini hii nchi?
mungu wa walokole ni kiziwi,bila mikelele haswa hasikii.Bwana ni mwema!
Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.
Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.
Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.
Kwa sababu zangu binafsi.
Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?
Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.
Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement
Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala
Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.
Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.
Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?
Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
AhahahKuna moja lilikua karibu na home, wao kila ijumaa na jmos usiku wanakesha makelele hadi kero.
Nashukuru hiyo siku mvua kubwa ilinyesha likasombwa na maji maana lilikua la matubai. Since then tunalala kwa amani.
Usijumuishe wakristo wote.mungu wa wakristo ni kiziwi,bila mikelele haswa hasikii.
Halafu ivyo vikanisa uchwara vimekua vingi sana sana mtaani,,kwakweli ni kero mno.Kelele Zina kera sana hizi. Hata Mimi walianza Kwa maturubai tu hata Sasa kanisa la MUNGU wa BENDERA Bado la turubai lakini vyombo vya mziki walivyo navyo kama kuezeka wangekuwa wameezeka kabisa
Unaanzake kwenda kuishi karibu na Makanisa (ya masafa mafupi) au Misikiti au Bar au Soko?Bwana ni mwema!
Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.
Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.
Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.
Kwa sababu zangu binafsi.
Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?
Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.
Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement
Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala
Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.
Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.
Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?
Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
Hayo yamenikuta asee mengine ya Yana turubai tuUnaanzake kwenda kuishi karibu na Makanisa (ya masafa mafupi) au Misikiti au Bar au Soko?
Unajiuliza huyo Mungu wao yeye anapenda makelele kiasi hiki unakoswa jibuHalafu ivyo vikanisa uchwara vimekua vingi sana sana mtaani,,kwakweli ni kero mno.
Mbona wenu Hadi muitane Kwa adhana bila adhana hawezi kuwasikia?mungu wa walokole ni kiziwi,bila mikelele haswa hasikii.
Nyie ndio mnaopewa ujumbe muache dhambiUnajiuliza huyo Mungu wao yeye anapenda makelele kiasi hiki unakoswa jibu
Nakwambia mankinds search for God ni balaaa tupu. Ama kweli dini za uwongo zitakuwa nyingi sana na hao wanaomuabudu mungu kwa kuwapa kero wenzao naona tayari wanaenda kinyume na yale wanayofundisha.Bwana ni mwema!
Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.
Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.
Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.
Kwa sababu zangu binafsi.
Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?
Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.
Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement
Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala
Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.
Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.
Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?
Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
Hao watu Huwa Wanatetewa dini za Wazungu kuliko kujitetea wao 😂😂😂😂Bwana ni mwema!
Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.
Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.
Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.
Kwa sababu zangu binafsi.
Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?
Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.
Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement
Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala
Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.
Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.
Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?
Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee