Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

Dunian tunachezeana akil sana ni vile atujui tu.. huyu mtu akuna kizaz cha 2000 kwa watoto wa kike na kiume wasio mjua leo kaonekana malaika kurud malangon kwa Bwana lakn kwa uwezo wangu mdogo wa kufkr hil n tatzo kwa vijana wetu wasioweza kuchanganua mambo wataona n rahis kufanya madhambi na kupokelewa kundini wakat tayar utakua ushaharbika, hiz n mission za ki magharbi kuonyesha ushoga n ktu cha kawaida katika jamii hata kiroho ndio mana kuna makanisa ulaya yanafungisha ndoa madume na watu wanashangilia na kuona ni jambo la kawaida sasa wameanza kuwarudisha kwenye malango ya iman kwakua tunamapokeo ya bila kutafakar tutaona n sahihi kumbe tunapandikiza kirusi kwenye mentality za watoto vjana hata wazaz pia kwa kufanyia brain wash kua kila ktu knawezekana kumbe tunaongeza number za mashoga kwenye jamii bila kujua
Usiseme hivyo atakua ameamua kwa dhati kujirudi,na uenda mungu ameshapokea toba yake, tuamini hivyo,tusiendelee kumuhukumu na kuhukumu ni kazi ya mungu pekee.
 
Ahaa umenikumbusha kitu...

Huwa najiuliza sana kama u-LGBTQIA+ ni asili na upekee wa mtu binafsi(kama wanavyopenda kusema wao), inakuwaje watu wa LGBTQ wanaamua kuwa kawaida?

Inachanganya sana....
Sio kila anayeshiriki ngono ya jinsia moja ni shoga; watu wengi wanaweza kushiriki ngono ya jinsia moja kutokana na sababu nyingi ikiwemo trauma, malezi nk. Na pia unaweza usishiriki ngono ya jinsia moja na hata ukashiriki ngono na jinsia tofauti ila bado unavutiwa na jinsia yako tu.
 
Back
Top Bottom