Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

SCIENTIFIC PROOF sir!
Hizo bla bla za bible ungekua unaziamin kila saa ungekua matacoin kwa bichwa komwe kujadili vinyeo na hogo.??
SCIENTIFIC EVIDENCE senior!
Kwa Nia njema kabisa nionyeshe hata ikiwezekana ni lini huyo unae mtaja aliwai/ amewai ni TAG ??!

Na kwanini umtaje au kumshutumu mtu kwa uongo ni lini Mimi niliunga mkono ushoga?!

Concern, yangu ukisha anza ushoga ni ngumu kutoka kwenye Hilo tanuru wewe unabisha ? Huyo kesha haribika na kurudi kua mwanaume rijali ni ngumu maana for years kesha haribiwa.

NB.
"A wise man can learn more from a foolish question than a fool can learn from a wise answer"

Nimefunga majadiliano/ majibizano yeyote na wewe mkuu.. it's over.
 
Acheni uongo aisee, anti assu alikuwa shoga maarufu dar ,huyo Aggrey hajamfikia ,lakin aliokoka na alifunga ndoa na sasa ana familia na watoto

Bado hujajua damu ya Yesu ,hujajua Mungu akimtafuta mdhambi inakuwaje ,

YESU hakufa msalabani bure aisee ,
Wanajua sana sema wao wako hapa kupromote ongezeko la hao watu so chochote kinachohatarisha kampeni yao watakipinga kwa ujinga wowote unaowajia kichwani
 
Kwa Nia njema kabisa nionyeshe hata ikiwezekana ni lini huyo unae mtaja aliwai/ amewai ni TAG ??!

Na kwanini umtaje au kumshutumu mtu kwa uongo ni lini Mimi niliunga mkono ushoga?!

Concern, yangu ukisha anza ushoga ni ngumu kutoka kwenye Hilo tanuru wewe unabisha ? Huyo kesha haribika na kurudi kua mwanaume rijali ni ngumu maana for years kesha haribiwa.

NB.
"A wise man can learn more from a foolish question than a fool can learn from a wise answer"

Nimefunga majadiliano/ majibizano yeyote na wewe mkuu.. it's over.
Wereva najua anti Asu aliliwa zaidi ya Agrey na leo ni mume na baba wa familia yake.
Bye!
 
W
Anaongea kitu kwa assumption,wanatamani na watashangilia Aggrey akirudi huko,

Anti Assu alikuwa hatari sana kwa ushoga , lakin sasa hivi ana familia na mke , na aliokoka
Hawajafurahishwa kabisa na hili jambo
 
Nani anamkatisha tamaa? Tamaa alitaka mwenyewe kwa kupenda pesa.

Mashoga wote ni wale maisha yamewachapa au wanatamaa ya maisha mazuri
Sio mashoga wote wana njaa ila hata hivyo wewe nini kinafanya upanic Agrey kubadilika.?
Yeye ndo aliamua kuwa shoga na yeye ndo kaamua kuacha nini kinafanya ujione una thamani kumshinda?
 
Nimeandika uhalisia mtupu.. Tusiishi dunia ya kufikirika na kuwa kama mbuni.. Nina interaction kubwa sana na vijana wa makundi mbalimbali wakiwemo wenye hili tatizo..
Manii ni mbaya sana zinapowaingia huko mahali.. Na wengi hutamani kuacha lakini kila wakiwashwa hutamani kukunwa na si kwa mkono bali kwa uume ma hapo ndio penye shida kubwa sana
Nimeandika kitu halisi sio maskhara
Mkuu hizi porojo zako unaandikaga ndo zakufikirika mtu kama mimi hawezi kuweka kichwani vitu kama hizi na zile za chumvi ya mawe sijui na mauganga uganga gani huko.
Hizo zinakaa kundi moja na zile takataka za sijui ukifagia usiku unafukuzq baraka sijui mkono ukiwasha utapata hela sijui bundi akilia katumwa na wachawi.

Niko tayari kujifunza ila nijie na facts za kisayansi mbali na hapo siwezi kukuelewa
 
Nimeandika uhalisia mtupu.. Tusiishi dunia ya kufikirika na kuwa kama mbuni.. Nina interaction kubwa sana na vijana wa makundi mbalimbali wakiwemo wenye hili tatizo..
Manii ni mbaya sana zinapowaingia huko mahali.. Na wengi hutamani kuacha lakini kila wakiwashwa hutamani kukunwa na si kwa mkono bali kwa uume ma hapo ndio penye shida kubwa sana
Nimeandika kitu halisi sio maskhara
Vitu umeandika kwenye hilo bandiko lako la ATHARI ZA MANII ni mambo umejitolea kichwani kwako.

Umesema eti manii yanasabqbisha mtu aongee kike,atembee kike avae kike?
Vipi wale wanaume wako kawaida kabisa kwa kila kitu hadi siku ukisikia wanbanduliwa tena for ages unabisha?

Unasemaje kuhusu wanaume ambao wanaanza ku behave kike kike bila hata kuliwa na sbb yao ya ku behave hivyo ni kukulia nyumba yenye wa kike tupu?

Mimi nawajua mashoga wazungu kibao wameacha for years now so you can’t tell me nothing
 
Ni Yesu pekee awezaye kubadili maisha ya mtu, Mungu amsaidie Aggrey asimame thabiti ktk wokovu.
 
Back
Top Bottom