- Thread starter
- #141
Kwa hilo jina unawavutia walaji so wewe kutopenda kukila sio ishu kwaoNitabdili Jina mzee sifagilii kisamvu cha kopo(Kula ndukumu awe mwanaume awe mwanamke)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hilo jina unawavutia walaji so wewe kutopenda kukila sio ishu kwaoNitabdili Jina mzee sifagilii kisamvu cha kopo(Kula ndukumu awe mwanaume awe mwanamke)
Kwa Nia njema kabisa nionyeshe hata ikiwezekana ni lini huyo unae mtaja aliwai/ amewai ni TAG ??!SCIENTIFIC PROOF sir!
Hizo bla bla za bible ungekua unaziamin kila saa ungekua matacoin kwa bichwa komwe kujadili vinyeo na hogo.??
SCIENTIFIC EVIDENCE senior!
Kuna muda atatamani hogo lizame kwenye kinyeo..... anaitupa biblia pembenii anaanza kushughulika kama mtoto wa kike aliyefundwa na akafundika.
Cc: Poor Brain Extrovert secretarybird
Wanajua sana sema wao wako hapa kupromote ongezeko la hao watu so chochote kinachohatarisha kampeni yao watakipinga kwa ujinga wowote unaowajia kichwaniAcheni uongo aisee, anti assu alikuwa shoga maarufu dar ,huyo Aggrey hajamfikia ,lakin aliokoka na alifunga ndoa na sasa ana familia na watoto
Bado hujajua damu ya Yesu ,hujajua Mungu akimtafuta mdhambi inakuwaje ,
YESU hakufa msalabani bure aisee ,
Wereva najua anti Asu aliliwa zaidi ya Agrey na leo ni mume na baba wa familia yake.Kwa Nia njema kabisa nionyeshe hata ikiwezekana ni lini huyo unae mtaja aliwai/ amewai ni TAG ??!
Na kwanini umtaje au kumshutumu mtu kwa uongo ni lini Mimi niliunga mkono ushoga?!
Concern, yangu ukisha anza ushoga ni ngumu kutoka kwenye Hilo tanuru wewe unabisha ? Huyo kesha haribika na kurudi kua mwanaume rijali ni ngumu maana for years kesha haribiwa.
NB.
"A wise man can learn more from a foolish question than a fool can learn from a wise answer"
Nimefunga majadiliano/ majibizano yeyote na wewe mkuu.. it's over.
Hawajafurahishwa kabisa na hili jamboAnaongea kitu kwa assumption,wanatamani na watashangilia Aggrey akirudi huko,
Anti Assu alikuwa hatari sana kwa ushoga , lakin sasa hivi ana familia na mke , na aliokoka
Sio mashoga wote wana njaa ila hata hivyo wewe nini kinafanya upanic Agrey kubadilika.?Nani anamkatisha tamaa? Tamaa alitaka mwenyewe kwa kupenda pesa.
Mashoga wote ni wale maisha yamewachapa au wanatamaa ya maisha mazuri
Hatetei ushoga huyo.Hazipo acha kutetea ushoga
Ukiwabananisha wanakugeizia kibao kuwa wewe ndio shoga.Wanapenda sana maovu yawe mengi
Nitashukuru sana kama utaniachia ujinga wangu asanteWe baba kuna watu wanakuheshimu hapa(japo sijui kwanini) acha ujinga mimi sio kanjanja wa kuamini hichi umeandika akati matendo yako ukiwa around IDs za upinde nayaonaga.
Mkuu hizi porojo zako unaandikaga ndo zakufikirika mtu kama mimi hawezi kuweka kichwani vitu kama hizi na zile za chumvi ya mawe sijui na mauganga uganga gani huko.Nimeandika uhalisia mtupu.. Tusiishi dunia ya kufikirika na kuwa kama mbuni.. Nina interaction kubwa sana na vijana wa makundi mbalimbali wakiwemo wenye hili tatizo..
Manii ni mbaya sana zinapowaingia huko mahali.. Na wengi hutamani kuacha lakini kila wakiwashwa hutamani kukunwa na si kwa mkono bali kwa uume ma hapo ndio penye shida kubwa sana
Nimeandika kitu halisi sio maskhara
Manii huathiri kama vimelea vya kichaa cha mbwa
Mshana unaongea kwa lugha ngumu sana bro. Ila in short kati ya watu nnaowakubali na kwapenda humu jf wa kwanza ni wewe. Seriously nakupenda mpaka basiAm humbled....!!! Asante sanawww.jamiiforums.com
Mamaeeeeeeeee🤣🤣🤣Kuna muda atatamani hogo lizame kwenye kinyeo..... anaitupa biblia pembenii anaanza kushughulika kama mtoto wa kike aliyefundwa na akafundika.
Cc: Poor Brain Extrovert secretarybird
Vitu umeandika kwenye hilo bandiko lako la ATHARI ZA MANII ni mambo umejitolea kichwani kwako.Nimeandika uhalisia mtupu.. Tusiishi dunia ya kufikirika na kuwa kama mbuni.. Nina interaction kubwa sana na vijana wa makundi mbalimbali wakiwemo wenye hili tatizo..
Manii ni mbaya sana zinapowaingia huko mahali.. Na wengi hutamani kuacha lakini kila wakiwashwa hutamani kukunwa na si kwa mkono bali kwa uume ma hapo ndio penye shida kubwa sana
Nimeandika kitu halisi sio maskhara
Manii huathiri kama vimelea vya kichaa cha mbwa
Mshana unaongea kwa lugha ngumu sana bro. Ila in short kati ya watu nnaowakubali na kwapenda humu jf wa kwanza ni wewe. Seriously nakupenda mpaka basiAm humbled....!!! Asante sanawww.jamiiforums.com
Acha makasiriko mkuu maisha yenyewe ndo haya haya😂😂Una haka nako
Nipo tayari Aggrey anioe tena bila mahari.
InawezekanajeWereva najua anti Asu aliliwa zaidi ya Agrey na leo ni mume na baba wa familia yake.
Bye!
😂😂😂Baada ya Mwaka utasikia ni Mwinjilist na anafanya miujiza.
Shetani ana mbinu nyingi kama ccm na Mbowe