Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

Mbona picha mpya inaonesha hajaacha kushika pochi ya kike?
Eneo la Same,Huko Kilimanjaro,linahitaji maombi

Kipande cha Makanya to Same kinakuwaga na viajali vya Hapa na pale wakati Njia imenyooka barabara nzuri.

Nafikiri tatizo ni upepo mkali eneo hilo

Aggrey niliwahi kumuona mara 4 wakati ni shoga.Alikua amechunda,havutii hana nuru mwenye tumbo kubwa kama pakacha na tabasamu la kufosi

Baada ya kubatizwa nimemuona live mara moja.Amekonda kutokana na mabalaa yalomkuta huko ushogani ILA ananuru,tabasamu la kweli hakika anavutia ule mvuto wa kiume.
Sikuwahi kudhani kuwa kaka Philemon Agrey ni handsome namna hii!.

Hata hivyo kuna kitu kinanitia hofu moyoni mwangu.Je kaka Agrey ataweza kuvishinda vishawishi vya kumrudisha ushogani?🤭🤭?

1)Kwa sasa Agrey anavutia hivyo mafirauni yako radhi kumpa kiasi chochote wamshenyente tena!Je ana wokovu kiasi cha kukataa 50M?Mungu amsaidie sana.

2)Ushogani hawajapenda kupoteza mwenzao.Marafiki zake wakiendelea kuwa walewale kitakachotokea ni aidha awasaidie na wao wabadilike kama yeye au wao wamzidi nguvu wamrudishe ushogani.Je ana nguvu ya kuwashinda?Mungu amsaidie sana.

3)Agrey amechagua fungu jema kukimbilia kanisani kuitafuta amani na furaha ya kweli na kuwa karibu na Mungu wake ila SHETANI anaweza akapatumia huko huko kanisani kupitia malaika wake wa giza waliojificha humo kumuangusha kabisa Agrey.
Chukulia mfano atokee mmoja wa viongozi wa dini mwenye tabia za kimende aanze kumtaka Agrey?
Au Agrey aone mauchafu mengi yanayifanywa huko kanisani na watumishi wa Mungu aliowaamini kumtakasa si atapoteza imani na kama sio mwenye hekima arudi mazima ushogani?

Mwambieni kaka Philemon Agrey kuwa iwapo mpaka kufikia Christmas ya 2025 hatutasikia skendo ya yeye kurudi ushogani nina 15M zake za pongezi.

View attachment 3183147View attachment 3183149

Akiwashwa atatamani kukunwa na shida itaanzia hapo! Tumuombee sana


Nature ni nature tu mkuu

Mmmh!
Kaaaaazi kweli kweli

Ajitahidi aushinde mwili

Baada ya Mwaka utasikia ni Mwinjilist na anafanya miujiza.

Shetani ana mbinu nyingi kama ccm na Mbowe

Nipo tayari Aggrey anioe tena bila mahari.

Haina kuchepuka hiyo! Tutasoma vifungu vya biblia hadi ajazwe nguvu mpya

Dunian tunachezeana akil sana ni vile atujui tu.. huyu mtu akuna kizaz cha 2000 kwa watoto wa kike na kiume wasio mjua leo kaonekana malaika kurud malangon kwa Bwana lakn kwa uwezo wangu mdogo wa kufkr hil n tatzo kwa vijana wetu wasioweza kuchanganua mambo wataona n rahis kufanya madhambi na kupokelewa kundini wakat tayar utakua ushaharbika, hiz n mission za ki magharbi kuonyesha ushoga n ktu cha kawaida katika jamii hata kiroho ndio mana kuna makanisa ulaya yanafungisha ndoa madume na watu wanashangilia na kuona ni jambo la kawaida sasa wameanza kuwarudisha kwenye malango ya iman kwakua tunamapokeo ya bila kutafakar tutaona n sahihi kumbe tunapandikiza kirusi kwenye mentality za watoto vjana hata wazaz pia kwa kufanyia brain wash kua kila ktu knawezekana kumbe tunaongeza number za mashoga kwenye jamii bila kujua
 
Kuna kitu kimoja naona mnashindwa kuelewana.....

Tatizo mtu akitoa uzi watu wataushambulia kwa negativity comments badala ya kutaka kujifunza huo uzi uwe mbaya au mzurii Kuna watu wame experience kinachoandikwa, huo ndo ukweli

sasa ikatokea mtu akiingiliwa kinyume na maumbile ni kuwa kule Kuna bacteria...... hivyo kwa asili sehemu ile Haina tabia ya kujisafisha kama uke ulivyo........

Nadhani kama sikosei uke una acid na sperm alkaline..... kwa hivyo kwa sperm kumwagiwa ukeni ..... Inapelekea neutralization ya acid na alkaline..... Pia uke unajisafisha wenyewe kwa hiyo inakuwa ni tofaut na backside

Turudi kwenye backside kuwa ni sehemu ya mfumo wa chakula....... unabeba bacteria......... unapomwagiwa sperms zile bacteria zitashambulia zile sperms na kuzifanya kuoza Hali inayopelekea muhusika kuwashwa kutokana na wale bacteria wanaotengeneza mazingira ya ujio wa sperms,

Ndiyo maana mtu aliyeingiliwa kinyume accidentally utaona anaenda hospital kuoshwa kwa ajili ya kuondoa sperms zile, na kuacha Hali ya huko kama mwanzo......

Ila kumwagiwa sperms inakufanya bezi iwe sauti nyembamba sidhani maake Kuna gays kibao na wapo straights acting ...... Nadhani ni namna mtu anavyo jitambulisha ili iwe rahisi kujulikana maybe
cocastic Dr am 4 real PhD
 
Kuna kitu kimoja naona mnashindwa kuelewana.....

Tatizo mtu akitoa uzi watu wataushambulia kwa negativity comments badala ya kutaka kujifunza huo uzi uwe mbaya au mzurii Kuna watu wame experience kinachoandikwa, huo ndo ukweli

sasa ikatokea mtu akiingiliwa kinyume na maumbile ni kuwa kule Kuna bacteria...... hivyo kwa asili sehemu ile Haina tabia ya kujisafisha kama uke ulivyo........

Nadhani kama sikosei uke una acid na sperm alkaline..... kwa hivyo kwa sperm kumwagiwa ukeni ..... Inapelekea neutralization ya acid na alkaline..... Pia uke unajisafisha wenyewe kwa hiyo inakuwa ni tofaut na backside

Turudi kwenye backside kuwa ni sehemu ya mfumo wa chakula....... unabeba bacteria......... unapomwagiwa sperms zile bacteria zitashambulia zile sperms na kuzifanya kuoza Hali inayopelekea muhusika kuwashwa kutokana na wale bacteria wanaotengeneza mazingira ya ujio wa sperms,

Ndiyo maana mtu aliyeingiliwa kinyume accidentally utaona anaenda hospital kuoshwa kwa ajili ya kuondoa sperms zile, na kuacha Hali ya huko kama mwanzo......

Ila kumwagiwa sperms inakufanya bezi iwe sauti nyembamba sidhani maake Kuna gays kibao na wapo straights acting ...... Nadhani ni namna mtu anavyo jitambulisha ili iwe rahisi kujulikana maybe
cocastic Dr am 4 real PhD
Umefafanua vizuri nimependa na nimepanua uelewa wangu.
Asante🙏🏼

Okay.
Kwa hiyo kama mtu anayelawitiwa kinguvu anaweza kwenda hosp kusafishwa akakaa sawa hii ina maana kwamba SIO KWELI KUWA UKISHAINGILIWA HUKO HUWEZI KUACHA.
Hii ina maana wanaojifanya ni ngumu kuacha wanakua HAWAJATAKA TU KUACHA.

Ushoga ukitoka KICHWANI hata kama sehemu za siri za siri zimeathirika kwa namna fulani bado mtu huyo ni mwanaume kamili sbb wapo wenye bawasiri uhanisi lkn si mashoga
 
Sura yake na lipsi zake bado zinamvuto wa kike, hata kaa yake bado ni ya kidada . Itoshe kusema shahawa ni kwaajili ya kumwagia wanawake tuu..
Kuna wanaiona hii 6 ni sita wengine b na wengine 9 iliyolala na wote wako sahihi.

Hata ukisema anaonekana hapo alipo ana mimba atakayekupinga ni mjinga pekee asiyejua ubongo unavyofanya kazi.

HAPPY HOLLIDAYZ mkuu!
 
Umefafanua vizuri nimependa na nimepanua uelewa wangu.
Asante🙏🏼

Okay.
Kwa hiyo kama mtu anayelawitiwa kinguvu anaweza kwenda hosp kusafishwa akakaa sawa hii ina maana kwamba SIO KWELI KUWA UKISHAINGILIWA HUKO HUWEZI KUACHA.
Hii ina maana wanaojifanya ni ngumu kuacha wanakua HAWAJATAKA TU KUACHA.

Ushoga ukitoka KICHWANI hata kama sehemu za siri za siri zimeathirika kwa namna fulani bado mtu huyo ni mwanaume kamili sbb wapo wenye bawasiri uhanisi lkn si mashoga
Hata huyo lazima akasafishwe na kutibiwa ili kuepuka kupatwa na muwasho, fungus ama maambukizi yoyote yale.......

Unajua uraibu wa kitu chochote kina ongozwa na akili.....

Namna atakavyo tune akili yake ndivyo itakuwa rahisi kuepuka na kusahau

Japo kwa mtu aliekaa kwenye industry kama ya ushoga kwa muda labda asiwe too depressed lakini kwa ambao wameathirika kisaikolojia wanahitaji counseling za kutosha ili wawe sawa na wajisikie kama hapo mwanzo kama ni me, ahisi ule umwamba

Lakini kuacha inawezkn hakuna kinachoshindikana chini ya jua hili....

Asijutie alofanya Bali aone ana safari mpya zaidi ya alikotoka......

Afanye pia mazoezi ya kukomaza misuli..... awe strong enough

Asali na kumkimbilia Mungu..... Akiwa yeye ndiye mwingi wa huruma si mwepesi wa hasira

Ikiwa bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu,

ni Nan angesimama.

Japokuwa kwako kuna msamaha ili wewe uogopwe ......

Naam wote tunahitaji rehema za Mungu sio wezi, wanyang'anyi, wazinzi, wafiraji, wanaotukana, waabudu sanamu....
Tukitambua hakuna dhambi kubwa wala ndogo basi...... Tuombeane khery hapa duniani na huko Tuendako
Marry Christmas in advance........ and happy new year 2025
 
Sura yake na lipsi zake bado zinamvuto wa kike, hata kaa yake bado ni ya kidada . Itoshe kusema shahawa ni kwaajili ya kumwagia wanawake tuu..
Hapana Kuna wanaume wana muonekano wa kike, maybe macho, sura, nyusi, lips, wengine mpk muondoko lakini hizo ni shahawa ?

wapo wanawake wasio behave girlish at all je wao hawamwagiwi shahawa ?

Ukijaribu kufanya tafiti utagundua kwenye ushoga..... Kuna tabaka za watu mbali mbali

wapo Tops, bottoms, and versatile kwenye ushoga

Hawa Tops...... Ndo wanaowaingilia bottoms na vers,

Bottoms............ Mostly anaingiliwa

versatile.......... Anafanya na kufanywa...

Tuje kwa bottoms ambao ndo wengi wanajulikana.....

wapo wenye muonekano wa kiume kabisa na wana familia lakini ni bottom.....

Pia wapo bottom wenye muonekano wa kike......... na mara nyingi Hawa ni wale ambao hata balehe iliwakuta washaanza kutumika......

Hawa wenye muonekano wa kike, wakati wa kuikaribia balehe tofaut ya mwanaume na mwanamke inatokeza ambapo mtoto ambae Hana au havutiwi na mambo ya kike, atajieka kiumeni zaidi pia inategemea na malezi hapa ya wazazi......

Ikiwa huyu mwenye muonekano wa kike maybe sauti au tembea, akikosa kuelekezwa kuwa kiume kiume ni rahisi kurubuniwa na kufanyiwa ukatili

Hivyo Hawa unao waona wanajibinua, sjui kujiremba remba wameanza toka udogoni na kubwa ni upungufu wa malezi ya jinsi yake ya kiumeni......

Ukiwa na swali niulize tunaeleweshana na sii ushindani
 
Hata huyo lazima akasafishwe na kutibiwa ili kuepuka kupatwa na muwasho, fungus ama maambukizi yoyote yale.......

Unajua uraibu wa kitu chochote kina ongozwa na akili.....

Namna atakavyo tune akili yake ndivyo itakuwa rahisi kuepuka na kusahau

Japo kwa mtu aliekaa kwenye industry kama ya ushoga kwa muda labda asiwe too depressed lakini kwa ambao wameathirika kisaikolojia wanahitaji counseling za kutosha ili wawe sawa na wajisikie kama hapo mwanzo kama ni me, ahisi ule umwamba

Lakini kuacha inawezkn hakuna kinachoshindikana chini ya jua hili....

Asijutie alofanya Bali aone ana safari mpya zaidi ya alikotoka......

Afanye pia mazoezi ya kukomaza misuli..... awe strong enough

Asali na kumkimbilia Mungu..... Akiwa yeye ndiye mwingi wa huruma si mwepesi wa hasira

Ikiwa bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu,

ni Nan angesimama.

Japokuwa kwako kuna msamaha ili wewe uogopwe ......

Naam wote tunahitaji rehema za Mungu sio wezi, wanyang'anyi, wazinzi, wafiraji, wanaotukana, waabudu sanamu....
Tukitambua hakuna dhambi kubwa wala ndogo basi...... Tuombeane khery hapa duniani na huko Tuendako
Marry Christmas in advance........ and happy new year 2025
Umeandika vyema Sana ndugu yangu 😊 thanks kwa Kuni mention comment za hapo juu...tupo pamoja mkuu.
Happy Christmas too..
 
Umeandika vyema Sana ndugu yangu 😊 thanks kwa Kuni mention comment za hapo juu...tupo pamoja mkuu.
Happy Christmas too..
Asante doctor, najaribu kuwaelewesha watu jukwaani humu maake wanajua kutoa general conclusion tuu,
Lakini mambo hayapo hivyo....

Nasubiri Uzi wako wa pharmaceutical industry......

Marry Christmas Tena mkuu, na mwaka mpya 2025
 
Asante doctor, najaribu kuwaelewesha watu jukwaani humu maake wanajua kutoa general conclusion tuu,
Lakini mambo hayapo hivyo....

Nasubiri Uzi wako wa pharmaceutical industry......

Marry Christmas Tena mkuu, na mwaka mpya 2025
Kesho na kutwa ntakaa nitulie nianze kuandika..ume ni motivate..Ila ni Untold story
Tuombeane uzima mkuu
 
Waliombandua najua wapo humu, Ukimwi mshampatia je hamjakiharibu kipenseli chake?
 
Akiwashwa atatamani kukunwa na shida itaanzia hapo! Tumuombee sana
Shida ni kuwa shoga halafu uamue kuacha. Unakutana na vijamaa vilivyokuwa vikikushenyenta vinaanza kukuita "oya demu wetu vipi" unakumbuka raha/karaha zake unaamua kupasha kiporo
 
Aggrey niliwahi kumuona mara 4 wakati ni shoga.Alikua amechunda,havutii hana nuru mwenye tumbo kubwa kama pakacha na tabasamu la kufosi

Baada ya kubatizwa nimemuona live mara moja.Amekonda kutokana na mabalaa yalomkuta huko ushogani ILA ananuru,tabasamu la kweli hakika anavutia ule mvuto wa kiume.
Sikuwahi kudhani kuwa kaka Philemon Agrey ni handsome namna hii!.

Hata hivyo kuna kitu kinanitia hofu moyoni mwangu.Je kaka Agrey ataweza kuvishinda vishawishi vya kumrudisha ushogani?🤭🤭?

1)Kwa sasa Agrey anavutia hivyo mafirauni yako radhi kumpa kiasi chochote wamshenyente tena!Je ana wokovu kiasi cha kukataa 50M?Mungu amsaidie sana.

2)Ushogani hawajapenda kupoteza mwenzao.Marafiki zake wakiendelea kuwa walewale kitakachotokea ni aidha awasaidie na wao wabadilike kama yeye au wao wamzidi nguvu wamrudishe ushogani.Je ana nguvu ya kuwashinda?Mungu amsaidie sana.

3)Agrey amechagua fungu jema kukimbilia kanisani kuitafuta amani na furaha ya kweli na kuwa karibu na Mungu wake ila SHETANI anaweza akapatumia huko huko kanisani kupitia malaika wake wa giza waliojificha humo kumuangusha kabisa Agrey.
Chukulia mfano atokee mmoja wa viongozi wa dini mwenye tabia za kimende aanze kumtaka Agrey?
Au Agrey aone mauchafu mengi yanayifanywa huko kanisani na watumishi wa Mungu aliowaamini kumtakasa si atapoteza imani na kama sio mwenye hekima arudi mazima ushogani?

Mwambieni kaka Philemon Agrey kuwa iwapo mpaka kufikia Christmas ya 2025 hatutasikia skendo ya yeye kurudi ushogani nina 15M zake za pongezi.

View attachment 3183147View attachment 3183149
Inategemea pia amebatiziwa wapi. Si kila madhababu ni ya nuru,zipo za giza pia!
 
Back
Top Bottom