Kila kitu kina mwanzo: Njoo hapa tupeane mawazo ya biashara ambazo bado hazijafika Tanzania tuziwahi fursa.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hizi tuziite ni biashara bikra huwa ni sawa na kuwa mwanaume wa kwanza.

Ni biashara nyingi sana hazikuwepo Tanzania bali ziliingia kwa kucopy na ku paste biashara zinazofanywa nchi zingine.

Uzuri wa kuanzisha biashara mpya unapata jina haraka sana (Monopoly) na uta enjoy super abnormal Profits kwa kupanga bei elekezi,

Kama umewahi kuona kuna biashara huko Kenya, Ulaya, Marekani, n.k. ambayo unaona inaweza kufanyika hapa kwetu mchango wako utakuwa wa muhimu
 
Na hata huku mikoani hizi Dry cleanesa zimeanza kusambaa mitaani mwaka 2020 lakini kabla ya hapo kulikuwa na sehemu chache sana na bei zilikuwa zimechangamka sana, Kufua jeans pekee ilikuwa elf 3.
 
Nipo hapa sky soldier ngoja tuanze kutirilikaa.....
😊☺️🤓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…