Kila kitu ni UONGO

Kila kitu ni UONGO

kibangubangu

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2018
Posts
272
Reaction score
353
1. Maisha ya Duniani ni Uongo
2. Unachowaza ni Uongo
3.Umaskini ni Uongo
4.Utajiri ni uongo
5.Furaha niuongo
6.Huzuni ni uongo
7.Tarehe na siku ni Uongo
8.Usiku na mchana ni Uongo
9.Watakao zaliwa kesho watakutana na huu uongo...hadi pale wakifa
10.Kisicho hai ndo kinaishi duniani muda mrefu zaidi...Mfano mifupa yako itakaa duniani zaidi ya miaka 1000 ila wewe unaishi maika chini ya 100 hivyo hivyo kudhani ww ni bora kuliko kisicho hai ni uongo.

11.Vitakavyo ishi milele ni vile visivyo hai..kama Maji na Miamba,hivyo ukiliona jiwe liheshimu

Ukweli ni kwamba Ubongo unatudanganya...
Kabla ya kuzaliwa hatukua kitu,hatukua chochote ndivyo itakavyo kua siku ukifa....

Utarudi katika hali ileile ya kutokuepo...

Hivyo kila kitu ni Uongo...

Ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai.....ukaushwe au ubaki mifupa..ukiwa hai utaishi maisha mafupi ila ukifa mifupa yako itaishi maisha marefu kuliko uhai wako.

HIVYO dunia ni uongo na maisha yetu ni uongo kuna sehemu Mungu kaweka chip ambayo inatufanya tunaishi uongo...

Hivyo hapa duniani Tunaishi kwa ujasili wa uongo wakati ukweli sisi wenyewe ni uongo

Sisi na Wanyama wengine ni sawa kinacho tutofautisha ni kwamba Mungu alituumba tuje kufanya usimamizi wa dunia hivyo lazima angetupa kitu cha ziada,ambacho ni akili nyingi na Utashi...

Hivyo sisi ni wanyama Mameneja.....

If the MEANS CAN'T CHANGE THE END OF LIFE,as we are all ending at the same point...... what all means of life mean then...???SO LIFE NIUONGO
 
Ungeeleza kwanza nini maana ya uongo, ninachoweza eema ni kwamba death is real, everything else is relative/subject.
 
1. Maisha ya Duniani ni Uongo
2. Unachowaza ni Uongo
3.Umaskini ni Uongo
4.Utajiri ni uongo
5.Furaha niuongo
6.Huzuni ni uongo
7.Tarehe na siku ni Uongo
8.Usiku na mchana ni Uongo
9.Watakao zaliwa kesho watakutana na huu uongo...hadi pale wakifa
10.Kisicho hai ndo kinaishi duniani muda mrefu zaidi...Mfano mifupa yako itakaa duniani zaidi ya miaka 1000 ila wewe unaishi maika chini ya 100 hivyo hivyo kudhani ww ni bora kuliko kisicho hai ni uongo.

11.Vitakavyo ishi milele ni vile visivyo hai..kama Maji na Miamba,hivyo ukiliona jiwe liheshimu

Ukweli ni kwamba Ubongo unatudanganya...
Kabla ya kuzaliwa hatukua kitu,hatukua chochote ndivyo itakavyo kua siku ukifa....

Utarudi katika hali ileile ya kutokuepo...

Hivyo kila kitu ni Uongo...

Ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai.....ukaushwe au ubaki mifupa..ukiwa hai utaishi maisha mafupi ila ukifa mifupa yako itaishi maisha marefu kuliko uhai wako.

HIVYO dunia ni uongo na maisha yetu ni uongo kuna sehemu Mungu kaweka chip ambayo inatufanya tunaishi uongo...

Hivyo hapa duniani Tunaishi kwa ujasili wa uongo wakati ukweli sisi wenyewe ni uongo

Sisi na Wanyama wengine ni sawa kinacho tutofautisha ni kwamba Mungu alituumba tuje kufanya usimamizi wa dunia hivyo lazima angetupa kitu cha ziada,ambacho ni akili nyingi na Utashi...

Hivyo sisi ni wanyama Mameneja.....

If the MEANS CAN'T CHANGE THE END OF LIFE,as we are all ending the same point...... what all means of life mean then...???SO LIFE NIUONGO
BEGIN;

FIND WORD “UONGO”;

REPLACE WORD “UONGO”;

WITH WORD “UBONGO”;

STOP
 
1. Maisha ya Duniani ni Uongo
2. Unachowaza ni Uongo
3.Umaskini ni Uongo
4.Utajiri ni uongo
5.Furaha niuongo
6.Huzuni ni uongo
7.Tarehe na siku ni Uongo
8.Usiku na mchana ni Uongo
9.Watakao zaliwa kesho watakutana na huu uongo...hadi pale wakifa
10.Kisicho hai ndo kinaishi duniani muda mrefu zaidi...Mfano mifupa yako itakaa duniani zaidi ya miaka 1000 ila wewe unaishi maika chini ya 100 hivyo hivyo kudhani ww ni bora kuliko kisicho hai ni uongo.

11.Vitakavyo ishi milele ni vile visivyo hai..kama Maji na Miamba,hivyo ukiliona jiwe liheshimu

Ukweli ni kwamba Ubongo unatudanganya...
Kabla ya kuzaliwa hatukua kitu,hatukua chochote ndivyo itakavyo kua siku ukifa....

Utarudi katika hali ileile ya kutokuepo...

Hivyo kila kitu ni Uongo...

Ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai.....ukaushwe au ubaki mifupa..ukiwa hai utaishi maisha mafupi ila ukifa mifupa yako itaishi maisha marefu kuliko uhai wako.

HIVYO dunia ni uongo na maisha yetu ni uongo kuna sehemu Mungu kaweka chip ambayo inatufanya tunaishi uongo...

Hivyo hapa duniani Tunaishi kwa ujasili wa uongo wakati ukweli sisi wenyewe ni uongo

Sisi na Wanyama wengine ni sawa kinacho tutofautisha ni kwamba Mungu alituumba tuje kufanya usimamizi wa dunia hivyo lazima angetupa kitu cha ziada,ambacho ni akili nyingi na Utashi...

Hivyo sisi ni wanyama Mameneja.....

If the MEANS CAN'T CHANGE THE END OF LIFE,as we are all ending at the same point...... what all means of life mean then...???SO LIFE NIUONGO

huu n uongo
 
1. Maisha ya Duniani ni Uongo
2. Unachowaza ni Uongo
3.Umaskini ni Uongo
4.Utajiri ni uongo
5.Furaha niuongo
6.Huzuni ni uongo
7.Tarehe na siku ni Uongo
8.Usiku na mchana ni Uongo
9.Watakao zaliwa kesho watakutana na huu uongo...hadi pale wakifa
10.Kisicho hai ndo kinaishi duniani muda mrefu zaidi...Mfano mifupa yako itakaa duniani zaidi ya miaka 1000 ila wewe unaishi maika chini ya 100 hivyo hivyo kudhani ww ni bora kuliko kisicho hai ni uongo.

11.Vitakavyo ishi milele ni vile visivyo hai..kama Maji na Miamba,hivyo ukiliona jiwe liheshimu

Ukweli ni kwamba Ubongo unatudanganya...
Kabla ya kuzaliwa hatukua kitu,hatukua chochote ndivyo itakavyo kua siku ukifa....

Utarudi katika hali ileile ya kutokuepo...

Hivyo kila kitu ni Uongo...

Ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai.....ukaushwe au ubaki mifupa..ukiwa hai utaishi maisha mafupi ila ukifa mifupa yako itaishi maisha marefu kuliko uhai wako.

HIVYO dunia ni uongo na maisha yetu ni uongo kuna sehemu Mungu kaweka chip ambayo inatufanya tunaishi uongo...

Hivyo hapa duniani Tunaishi kwa ujasili wa uongo wakati ukweli sisi wenyewe ni uongo

Sisi na Wanyama wengine ni sawa kinacho tutofautisha ni kwamba Mungu alituumba tuje kufanya usimamizi wa dunia hivyo lazima angetupa kitu cha ziada,ambacho ni akili nyingi na Utashi...

Hivyo sisi ni wanyama Mameneja.....

If the MEANS CAN'T CHANGE THE END OF LIFE,as we are all ending at the same point...... what all means of life mean then...???SO LIFE NIUONGO
Hata huu uzi ni wa uongo
 
Kibobori ni kimyama kidogo kinachofukuwa mbegu za mahindi punde tu zikipandwa. Sasa kile wapi? Nafukuwa kama imeweka 4 nakula 3 nakuachia 1. Maisha ni kutegemeana.
 
1. Maisha ya Duniani ni Uongo
2. Unachowaza ni Uongo
3.Umaskini ni Uongo
4.Utajiri ni uongo
5.Furaha niuongo
6.Huzuni ni uongo
7.Tarehe na siku ni Uongo
8.Usiku na mchana ni Uongo
9.Watakao zaliwa kesho watakutana na huu uongo...hadi pale wakifa
10.Kisicho hai ndo kinaishi duniani muda mrefu zaidi...Mfano mifupa yako itakaa duniani zaidi ya miaka 1000 ila wewe unaishi maika chini ya 100 hivyo hivyo kudhani ww ni bora kuliko kisicho hai ni uongo.

11.Vitakavyo ishi milele ni vile visivyo hai..kama Maji na Miamba,hivyo ukiliona jiwe liheshimu

Ukweli ni kwamba Ubongo unatudanganya...
Kabla ya kuzaliwa hatukua kitu,hatukua chochote ndivyo itakavyo kua siku ukifa....

Utarudi katika hali ileile ya kutokuepo...

Hivyo kila kitu ni Uongo...

Ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai.....ukaushwe au ubaki mifupa..ukiwa hai utaishi maisha mafupi ila ukifa mifupa yako itaishi maisha marefu kuliko uhai wako.

HIVYO dunia ni uongo na maisha yetu ni uongo kuna sehemu Mungu kaweka chip ambayo inatufanya tunaishi uongo...

Hivyo hapa duniani Tunaishi kwa ujasili wa uongo wakati ukweli sisi wenyewe ni uongo

Sisi na Wanyama wengine ni sawa kinacho tutofautisha ni kwamba Mungu alituumba tuje kufanya usimamizi wa dunia hivyo lazima angetupa kitu cha ziada,ambacho ni akili nyingi na Utashi...

Hivyo sisi ni wanyama Mameneja.....

If the MEANS CAN'T CHANGE THE END OF LIFE,as we are all ending at the same point...... what all means of life mean then...???SO LIFE NIUONGO

1. Mifupa ya wanyama huchukua miaka 20 kuisha kabisa bila kuacha athari yoyoye ile , na si miaka zaidi ya 1000 kama ulivyosema hapo juu Pia huu ni uongo.

2. Umesema ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai , unaweza kunitajia kisicho na uhai kinachoishi "MAISHA" marefu hapa duniani? Au tuanze kwa kuelezea nini maana ya MAISHA?HUU PIA NI UONGO

Jichanganye na watu mkuu stress zipungue usipende kukaa peke yako peke yako maana watu kama nyie huwa hamkawii kujiondoa.
 
1. Mifupa ya wanyama huchukua miaka 20 kuisha kabisa bila kuacha athari yoyoye ile , na si miaka zaidi ya 1000 kama ulivyosema hapo juu Pia huu ni uongo.

2. Umesema ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai , unaweza kunitajia kisicho na uhai kinachoishi "MAISHA" marefu hapa duniani? Au tuanze kwa kuelezea nini maana ya MAISHA?HUU PIA NI UONGO

Jichanganye na watu mkuu stress zipungue usipende kukaa peke yako peke yako maana watu kama nyie huwa hamkawii kujiondoa.
Wewe somo la.ZAMADAMU limekupita soma ZAMADAMU mkuuuu
 
1. Mifupa ya wanyama huchukua miaka 20 kuisha kabisa bila kuacha athari yoyoye ile , na si miaka zaidi ya 1000 kama ulivyosema hapo juu Pia huu ni uongo.

2. Umesema ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai , unaweza kunitajia kisicho na uhai kinachoishi "MAISHA" marefu hapa duniani? Au tuanze kwa kuelezea nini maana ya MAISHA?HUU PIA NI UONGO

Jichanganye na watu mkuu stress zipungue usipende kukaa peke yako peke yako maana watu kama nyie huwa hamkawii kujiondoa.
Kaka maisha kwa tafsiri ni ku-sustain existance au presence katika dunia...


Ndi maana kipimo cha maisha cha uwepo wako duniani kinapimwa kikizingatia uwepo wako katika uso wa ardhi na sio chini ya ardhi....


Chochote kilicho juu ya ardhi kina manufaa katika dunia na chocjote kilicho chini hakina manufaa zaidi ya uthaminishaji.,
 
1. Mifupa ya wanyama huchukua miaka 20 kuisha kabisa bila kuacha athari yoyoye ile , na si miaka zaidi ya 1000 kama ulivyosema hapo juu Pia huu ni uongo.

2. Umesema ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai , unaweza kunitajia kisicho na uhai kinachoishi "MAISHA" marefu hapa duniani? Au tuanze kwa kuelezea nini maana ya MAISHA?HUU PIA NI UONGO

Jichanganye na watu mkuu stress zipungue usipende kukaa peke yako peke yako maana watu kama nyie huwa hamkawii kujiondoa.
Kama haupo katika uso wa ardhi wewe ni mfu and you are nothing in the existance world ..compare to the block or stone which can make a cement or hardrock to make or build the buildings on the world
 
1. Maisha ya Duniani ni Uongo
2. Unachowaza ni Uongo
3.Umaskini ni Uongo
4.Utajiri ni uongo
5.Furaha niuongo
6.Huzuni ni uongo
7.Tarehe na siku ni Uongo
8.Usiku na mchana ni Uongo
9.Watakao zaliwa kesho watakutana na huu uongo...hadi pale wakifa
10.Kisicho hai ndo kinaishi duniani muda mrefu zaidi...Mfano mifupa yako itakaa duniani zaidi ya miaka 1000 ila wewe unaishi maika chini ya 100 hivyo hivyo kudhani ww ni bora kuliko kisicho hai ni uongo.

11.Vitakavyo ishi milele ni vile visivyo hai..kama Maji na Miamba,hivyo ukiliona jiwe liheshimu

Ukweli ni kwamba Ubongo unatudanganya...
Kabla ya kuzaliwa hatukua kitu,hatukua chochote ndivyo itakavyo kua siku ukifa....

Utarudi katika hali ileile ya kutokuepo...

Hivyo kila kitu ni Uongo...

Ili uishi maisha marefu hapa duniani lazima usiwe na uhai.....ukaushwe au ubaki mifupa..ukiwa hai utaishi maisha mafupi ila ukifa mifupa yako itaishi maisha marefu kuliko uhai wako.

HIVYO dunia ni uongo na maisha yetu ni uongo kuna sehemu Mungu kaweka chip ambayo inatufanya tunaishi uongo...

Hivyo hapa duniani Tunaishi kwa ujasili wa uongo wakati ukweli sisi wenyewe ni uongo

Sisi na Wanyama wengine ni sawa kinacho tutofautisha ni kwamba Mungu alituumba tuje kufanya usimamizi wa dunia hivyo lazima angetupa kitu cha ziada,ambacho ni akili nyingi na Utashi...

Hivyo sisi ni wanyama Mameneja.....

If the MEANS CAN'T CHANGE THE END OF LIFE,as we are all ending at the same point...... what all means of life mean then...???SO LIFE NIUONGO
Wewe ndio unatambua hili leo? Mfalme Suleiman katika kitabu cha Mhubiri miaka zaidi ya 3,000 ilopita alisha sema hili, kwamba kila kitu ni ubatiri mtupu. Soma neno la Mungu upate maarifa hakuna jipya duniani.
 
Back
Top Bottom