Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

Asante mkuu, hawa ramitano ni kampuni ipo hapa Dar? najisajili online au ni physically?
Jisajiri na wallet za bitcoin ushauri wacheki ramitano.

japo wana prosses ndefu ya kukukubali ambayo haina gharama ila ni usumbufu tu wa kutaka kuhakikisha huwadanganyi katika doc zako.

Ukiwa veryfied utaweza kuuza na kununua..

Document watakazo hitaji vitambulisho hasa vya uaia au teseni ya gari cheti cha kuzaliwa,pia utawatumia picha yako ukiwa umejipiga huku umeshika kitambulisho chako.

Anyway utawachukia mwanzo ila ukisha kuwa verified utaenjoy.
 
Na ubaya wallet zinazo support kupeleka katika tsh ni chache pia tumia google kutafuta ila ukiipata share na wazoefu maana wangine wanakua matapeli zinakua sio kampuni za kweli.

Hiyo ramitano hata mimi naitumia wako poa japo unaweza tafuta na wengine wenye competitions katika rate za kubadili.
Asante mkuu, hawa ramitano ni kampuni ipo hapa Dar? najisajili online au ni physically?
 
Asante mkuu!
Na ubaya wallet zinazo support kupeleka katika tsh ni chache pia tumia google kutafuta ila ukiipata share na wazoefu maana wangine wanakua matapeli zinakua sio kampuni za kweli.

Hiyo ramitano hata mimi naitumia wako poa japo unaweza tafuta na wengine wenye competitions katika rate za kubadili.
 
Ivi Tanzania kwa mfano uta withdraw vipi mpunga wako wakati BOT hawatambui
Wiki mbili hizi kwa wenye angalau bit coin 1 naona mnalaza mpunga mnene hasa mlio nunua hadi mwanzoni mwa May.

Kitu mwanzoni mwa May kilikua 13m leo naona kimefika 22m.

Anyway wakati tunatabasam tukumbuke kuwa kuna kile kipindi kitu kinashukaga hadi 5m.
 
Ivi Tanzania kwa mfano uta withdraw vipi mpunga wako wakati BOT hawatambui
Ndo maana itakulazimu uibadili hiyo pesa ije katika mfumo unao tambulika iwe dollar au Tsh ili uweze kuitoa

Bank zote duniani bado hazijaitambua kama ni pesa hivyo wengi wanaonunu hii fedha huinunua kama madini tu....ikipanda thamani wanaiuza pia kama bidhaa na kupata pesa inayotambulika.
 
Back
Top Bottom