Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Jisajiri na wallet za bitcoin ushauri wacheki ramitano.
japo wana prosses ndefu ya kukukubali ambayo haina gharama ila ni usumbufu tu wa kutaka kuhakikisha huwadanganyi katika doc zako.
Ukiwa veryfied utaweza kuuza na kununua..
Document watakazo hitaji vitambulisho hasa vya uaia au teseni ya gari cheti cha kuzaliwa,pia utawatumia picha yako ukiwa umejipiga huku umeshika kitambulisho chako.
Anyway utawachukia mwanzo ila ukisha kuwa verified utaenjoy.
AsanteDawa ni kufanya kazi tu, hizo shortcut hazipo.
Dawa ni kufanya kazi tu, hizo shortcut hazipo.
Usajili ni online wana costomer care pale ico fasta,waulize kama wana physical ofisi hapa dar sijawahi kuuliza hilo.Asante mkuu, hawa ramitano ni kampuni ipo hapa Dar? najisajili online au ni physically?
Hatamimi sijawahigi uliziaUsajili ni online wana costomer care pale ico fasta,waulize kama wana physical ofisi hapa dar sijawahi kuuliza hilo.
Usajili ni online wana costomer care pale ico fasta,waulize kama wana physical ofisi hapa dar sijawahi kuuliza hilo.
Asante mkuu, hawa ramitano ni kampuni ipo hapa Dar? najisajili online au ni physically?
Na ubaya wallet zinazo support kupeleka katika tsh ni chache pia tumia google kutafuta ila ukiipata share na wazoefu maana wangine wanakua matapeli zinakua sio kampuni za kweli.
Hiyo ramitano hata mimi naitumia wako poa japo unaweza tafuta na wengine wenye competitions katika rate za kubadili.
Wiki mbili hizi kwa wenye angalau bit coin 1 naona mnalaza mpunga mnene hasa mlio nunua hadi mwanzoni mwa May.
Kitu mwanzoni mwa May kilikua 13m leo naona kimefika 22m.
Anyway wakati tunatabasam tukumbuke kuwa kuna kile kipindi kitu kinashukaga hadi 5m.
Hahaa sio lazima ununue nzima mkuu unaweza nunua 0.0004 btc ambayo kama Tsh 12000/= hivi...
Hapana mkuu haitangazwi na TBC.
Good mzee una moyo wa kuthubutu...vipi umesha kuwa verified?
Ndo maana itakulazimu uibadili hiyo pesa ije katika mfumo unao tambulika iwe dollar au Tsh ili uweze kuitoaIvi Tanzania kwa mfano uta withdraw vipi mpunga wako wakati BOT hawatambui
Anyway tulia nakuletea A to Z jinsi utakavyo weza nunua na kuuza pia na ishu za kujiunga ili uwe verified pamoja na security ya account yakowamenitumia email niverify ila nashangaa bado inasoma kuwa mimi ni guest!
Aisee!!Duh! Wanaonunua ni Matajiri wakubwa sana,
Inamana hiyo thaman ya bitcoin huwa inatangazwa na TBC?
Hakuna ela ambayo inaingia TZ na bot hawajui!!Ivi Tanzania kwa mfano uta withdraw vipi mpunga wako wakati BOT hawatambui
Anyway tulia nakuletea A to Z jinsi utakavyo weza nunua na kuuza pia na ishu za kujiunga ili uwe verified pamoja na security ya account yako
Check update ya post[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Unamuuzia nani ?Wewe mwongo hakuna kitu simple kama kuuza btc