Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mbona walikuwa wanapeana silaha na kuishambulia Israeli kutoka kila upande?Kazungukwa na watu wanaohitilafiana wenyewe hawana umoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona walikuwa wanapeana silaha na kuishambulia Israeli kutoka kila upande?Kazungukwa na watu wanaohitilafiana wenyewe hawana umoja
Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi. YHN 4:22Makobaz walipaswa wajue hata kabla ujio wa dini yao, kulikua na miungu iliyojaribu kuangamiza Israel ikishindikana.
Wapi imekatazwa kufanya jambo zuri na lenye kuvutia (kujitekenya) halafu usijipongeze kwa furaha (kucheka mwenyewe)?Ni kujitekenya na kucheka mwenyewe
Anayetoa wokovu wenu ni myahudi huyuhuyu naemjua au yupo myahudi mwingineNinyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi. YHN 4:22