Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Hapo hazipandi zinashukaWeka hata 1000k kipigo nje nje
Ule ndio mwisho wakeWhat a miss from niang
Feisal inabidi ajirekebishe aisee
Siwezi kumudu gharama ya Uzalendo kwa Taifa hili, ebu niache....Kuwa mzalendo kidogo basi best yangu kama mm hivi walau[emoji2][emoji2]
Ebu shusha dondoo hizo mkuu
Na kweli yule jamaa hazimtoshiKwa jinsi asivyo na adabu anaweza sema wachezaji ni wanachama wa Chadema na ACT
Mimi siyo mtukanaji. Wewe tukana tuu wazazi wako.Pumbavu umekaa kimajungu tu.Huyo ndiyo kocha bora kabisa katika Tanzania tokea taifa hili lipate Uhuru.
Hapana amekuwq mvivu wa kubadilika na kuwakimbia mabeki...Sattama anazungukwa na watu watatu Kila akigusa mpira
Kumbe UZALENDO ni kulazimisha mbichi kuonekana mbivu au NYEUSI kuonekana NYEUPE??? Hahahahahah.....mmezoea!! Mpaka kwenye mpira? Haya ngoja tusubiri dakika 90.Uzalendo
Leo Ushindi Lazima
Hii nchi upumbavu kila konaUtekelezaji wa IlaniView attachment 1136641