Upo sawa,huyu dogo hakupaswa kuwa kiungo wa kuanza kwenye mashindano kama haya,usimba na uyanga tuuweke pembeniHuyu Fei toto sijui anacheza nini... yaani sijui itakuwaje.. Huyu amonike ametuletea u mourinho wake wa kuwaacha ajibu na mkude.. ona sasa ameshakula na kadi
Tatizo ni kocha mimi sina imani naye, sikatai kwamba Senegel ni timu kubwa ila aina ya viungo aliowaita wanavurunda balaa.Muda huu mechi kati ya Tanzania na Senegal inaendelea, wale tunaoangalia hii mechi mimi naona uchezaji wa timu yetu si mzuri maana rafu za ovyo na kujikanganya kwingi. Amunike anatufaa?
Vipi hakuna kuogopa hapaSubutu
Sasa utashangaa anatoka Mwantika anaingia Ally Mtoni SonsoKila kitu hovyo hovyo.
Halafu ujinga kama huu mnategemea nani aisapoti timu hii?
Gundu, gundu tuu!
Of course kocha tumpe sifa zake ila sidhani kama no kweli kwamba yeye ndiye kocha bora kabisa kuwa kutokea,kumbuka Tanzania ishawahi kufuzu pia kucheza mashindano haya miaka ya nyuma. Kiukweli wachezaji wote ukiondoa Samatta ni hovyo kabisa. Hawana nguvu,hawana nidhamu ya mchezo,hawako accurate,hawana ball control. Nadhani hadi wanakwenda mapumziko naamini Tanzania ndio timu mbovu kuliko zote zilizofuzu japo sijaona mechi zinazokuja. Sidhani hata kama timu ilofuzu miaka ya 80's iliwahi kucheza kama ilivyocheza hii kipindi cha kwanzaPumbavu umekaa kimajungu tu.Huyo ndiyo kocha bora kabisa katika Tanzania tokea taifa hili lipate Uhuru.
Hao mabeki wa Senegal wenyewe unaona na kuwafahamu mkuu.Hapana amekuwq mvivu wa kubadilika na kuwakimbia mabeki...
Hamwoni mwenzake keita....anahama nafasi na kiwachanganya mabeki.
Yaani hili taifa! Basi tuu, nadhani sasa ni la mwisho kabisa kwa furaha. Haya mambo utaipata wapi furaha?TBC wanaonyesha ndondoView attachment 1136651
Tusubiri second half☺hata kama tunafungwa;
Mimi siwezi thubutu kukuweka, ili kubwa kuliko niwe peke angu
SijaelewaHao mabeki wa Senegal wenyewe unaona na kuwafahamu mkuu.