Tusije jamani tukageuzwa zulia la kundi C kila timu ikachukua point 3 kutoka kwetu! Sisi wengine tutaishia kuumwa
Mbaya zaidizimeandikwa "magufuli"!!Mi nilishangaa Bashite, yeye ni nani mpaka mpaka atangaze jezi za timu ya taifa?
Mkuu Punguza uzalendo uchwara Pamoja na kuwa wanacheza na team tofauti Ila wenzetu wanaupiga unajua kabisa Wanataka niniUganda kacheza na nan?....Madagascar he??? Senegal inashika no 1 Africa na no 22 duniani...sio timu ya mchezomchezo kabisa..
huyu ndio mwafrika halisi sasaAise Diatta mpira si umeisha cheka basi kidogo eeh.
Halafu wachezaji wetu bado tunawapenda ule mshuti ulitaka kutuua au [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1136779
senegal abadilike alitakiwa atupige 4 au 5 kwa jinsi tulivyocheza utumbo. makosa mengi ya hovyo kabisa. yaani mane angecheza ilikuwa ni dhahama leo.Kiukweli Stars asingeweza kumfunga Senegal...hata sare isingekuwa rahisi..
Senegal ranking: Africa,pos.1 worldwide pos.22
Tanzania ranking:Afrika (sifahamu) worldwide pos.131
Hivyo bas sioni timu ya Africa yenye ubabe kuliko Senegal..
Utabir wa kundi:Kenya hawezi mpiga Senegal hata aingie uwanjani uchi..pia sidhani kama Kenya atamfunga Algeria... Tanzania hata waingie uwanjani kinyumenyume hawezi mfunga Algeria... Sasa vita inabaki kwa bongo na kenya nan awe nusu mkia am a nan awe mkia..Ninavyoona Tanzania na Kenya watakutana wakiwa na sifuri(maoni yangu)..,hivyo kila mmoja atajitahidi kuondoa aibu na gemu itakuwa Kali....
Utabiri wangu kwa bingwa:Senegal au Ivory coast
Yule kama sio huruma za refaree angekula umeme.Anasugua benchi azam huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuko mil50+ wanaume 20+ vijana wa kiume mil15+
Tunakosa watu 22 tu makini kutuwakilisha.
Ipigwe hamsa au?Naunga mkono hoja
Guinea na Nigeria hawana kiwango cha SenegalHatuna timu hapa, nimeangalia burundi, madagasca watu wanajituma mbaya sisi watu wanatembea uwanjani + kocha kisirani. Msiwe mnatuhamasisha kuangalia mipira inayoleta hasira.