Kila la heri timu ya Taifa, Taifa Stars

Watanzania wengi wana IQ ndogo sana ! Hivyo wana michezo ,wanasiasa hawana uwezo wa kufanya maamuzi sahihi na kwa haraka!
Tunachoweza na ambacho hatuna mshindani duniani ni unafiki na urongo tu!
 
Senegal ndyo timu bora africa stars inashika nafac ya 36 hivyo wamejitahidi sana
 
Naniliu alisema tutapeleka jeshi kushindana, hivyo vuta subira.
 
Sababu ni moja kati ya mbili. Ama kocha anaihujumu timu au hajui. Maelezo mengine hayana mashiko. Kuna uvurugaji wa timu makusudi katika kupanga kikosi katika michezo yote ya kufuzu, ya maandalizi ns ya mashindano. Asiyeweza kuona hilo haelewi mpira.
 
Kocha tuta msingizia bure.

Mpira hauna shortcut ni mwenye mipango thabiti na kuifanyia kazi ndio hufanya vizuri.

Inabidi tuanze kuboresha mfumo wa mpira wetu.
Sababu ni moja kati ya mbili. Ama kocha anaihujumu timu au hajui. Maelezo mengine hayana mashiko. Kuna uvurugaji wa timu makusudi katika kupanga kikosi katika michezo yote ya kufuzu, ya maandalizi ns ya mashindano. Asiyeweza kuona hilo haelewi mpira.
 
Sababu ni moja kati ya mbili. Ama kocha anaihujumu timu au hajui. Maelezo mengine hayana mashiko. Kuna uvurugaji wa timu makusudi katika kupanga kikosi katika michezo yote ya kufuzu, ya maandalizi ns ya mashindano. Asiyeweza kuona hilo haelewi mpira.
Mkuu,wala usisumbuke sana bali elewa hii region yetu ya East and Central Africa watu wake wanazidiwa mambo mengi tu na watu wa Afrika ya Kaskazini na Afrika Magharibi soka ikiwemo.

Na hata hawa waafrika wenzetu nao wakikutana na watu wa mabara mengine mfano Ulaya,kisoka mara nyingi wanaishia tu hatua za awali kama ilivyo kwenye kombe la dunia na katika michezo mingine.

Kimsingi kuna tatizo na tatizo hili lina uhusiano mkubwa sana na Nature na Regions anakopatikana binadamu.Binfsi huwa naamini regions zime-define au zime-influence kiasili mambo mengi kuhusu viumbe hai na binadamu tukiwemo.
 
Kenya keshapigwa moja huku tayari

Kuna kupigwa goli lakini ukiwa optimistic kuwa next time unaweza kuwa tofauti....

Naitazama. Kweli wamefungwa lakini wanaonesha competitiveness kuliko Tanzania yetu

Taifa Stars ya Makonda haina tofauti na timu ya taifa ya SOMALIA mkuu!!

Ni kweli kabisa na ni haki kujiuliza hivi tulifuzuje kushiriki mashindano haya hata kuipiku Rwanda ya Kagame ambayo kwa mtazamo wangu is far better than TZ?
 
kama himidi mao ataendelea kucheza hakuna tunachokifanya
 
Maelezo yako ni sahihi. Lakini kwa muktadha wa upangaji wa timu kwenye mechi tulizocheza za kirafiki na za makundi kuna kila ishara ya makusudio ya kushindwa. Wala sioni sababu ya kumtetea kocha. Sitashangaa nikisikia kuna mfarakano kati ya wachezaji na kocha. Kuna shida kubwa sana kwenye timu yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…