Kila la heri timu ya Taifa, Taifa Stars

Kila la heri timu ya Taifa, Taifa Stars

Hivi tatizo ni nini hasa, kwasababu hata ule mori wa kujituma hatuna.
 
Ni kweli, ila kwa hapa tuna tatizo la kocha kuliko wachezaji

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Ata wange jituma kiasigani gep ni kubwa katiyetu na Senegal, wao timu nzima wanacheza Ulaya mbaka Bench. Sasa kocha afanyaje na wachezaji wetu karibu wote wa mchangani. Wametuzid Nguvu na uwezo wa kimpira.
 
Wachezaji Tunao ila hili kocha hamna kitu tulipotea sana kumuacha yule mdenish paulson yaani hii takataka amunike afadhali mara kumi timu angepewa hata minziro au julio
 
Nawakumbusha tu jamani

Kikosi cha SENEGAL 🇸🇳 kilichipo humo

1. Mendy - Rennes, France
2. Wague - Barcelona, Spain
3. Sabaly - Bordeaux, France
4. Sane - Shalke, German
5. Koulibay - Napoli, Italy
6. Ndiaye - Galataslay, Turkey
7. Sar - Rennes, France
8. Gana - Everton, England
9. Niang - Rennes, France
10. Diata - Bruge, Belgium
11. Keita Balde - Juventus, Italy.
Keita anacheza Monaco ila yupo Intermillan kwa sasa kwa mkopo.
 
Back
Top Bottom