Kila la heri timu ya Taifa, Taifa Stars

Kila la heri timu ya Taifa, Taifa Stars

Hatuna timu hapa, nimeangalia burundi, madagasca watu wanajituma mbaya sisi watu wanatembea uwanjani + kocha kisirani. Msiwe mnatuhamasisha kuangalia mipira inayoleta hasira.
Uganda kacheza na nan?....Madagascar he??? Senegal inashika no 1 Africa na no 22 duniani...sio timu ya mchezomchezo kabisa..
 
Kufungwa sio ishu.. kinachonisikitisha ni poor perfomance ya timu yetu yaan utadhania biashara united ya mara vile.. amunike kikosi chake sijui anakipangiaga wapi yaani daah.. mechi zenyewe tatu tu.!
 
Kama timu ikifanyaga vizur wanasema ni juhudi za Serikali ya awamu ya tano basi hata ikifanya vibaya pia waseme vivyo hivyo....
 
Hatuna timu hapa, nimeangalia burundi, madagasca watu wanajituma mbaya sisi watu wanatembea uwanjani + kocha kisirani. Msiwe mnatuhamasisha kuangalia mipira inayoleta hasira.
Yan burundi na hata namibia, wamejitahidi kucheza, ila utofauti wa mchezaji mmoja mmoja ndio ulieghairm, ila sisi hata kucheza mpira tu tumeshindwa. Yan tunabutua butua tu. Hatuilaumu timu yetu kufungwa,ila tunacholaumu ni tumefungwaje?
 
Asante sana Senegal kulishikisha adabu timu la misifa fc aka siasa fc aka bashite fc.
Usingizi utakua mnono sana kwangu. Nanyi niwatakie usiku mwema huku nikiwaombea majirani zetu Kenya walitandike magoli ya kutosha hili libashite fc siku ya alhamisi.
 
The man himself
IMG_20190623_221526.jpg
 
Kama timu ikifanyaga vizur wanasema ni juhudi za Serikali ya awamu ya tano basi hata ikifanya vibaya pia waseme vivyo hivyo....
 
Tukijithidi labda tupate sare dhidi ya Kenya! ila magoli yako pale pale! Sisi kinacho tuangusha ni kicha Amunike! Tangu akabidhiwe timu, hana kikosi cha kwanza! Atakavyo amka siku hiyo, ndivyo atakavyo ipanga timu! Tofauti kabisa na timu nyingine mafano Uganda!

Hatuna uwezo wa mpira hata kocha akiwa Gurdiola full stop.
 
Tanzania wachezaji wa sasahivi wanapewa hela nyingi lakini hakuna talents , hawajitumi , hawana kitu cha ziada na wameshindwa kutumia nafasi kujitangaza nje ya afrika. Juzi raisi mstaafu alisema vilabu viwekeze kwenye timu za watoto viachane na wachezaji wa kutoka nje ya nchi .afadhali sijaangalia mechi yenyewe maana ni masikitiko
Amunike angesema aingie angecheza vizuri kuliko wachezaji wote
 
Nawakumbusha tu jamani

Kikosi cha SENEGAL [emoji1211] kilichipo humo

1. Mendy - Rennes, France
2. Wague - Barcelona, Spain
3. Sabaly - Bordeaux, France
4. Sane - Shalke, German
5. Koulibay - Napoli, Italy
6. Ndiaye - Galataslay, Turkey
7. Sar - Rennes, France
8. Gana - Everton, England
9. Niang - Rennes, France
10. Diata - Bruge, Belgium
11. Keita Balde - Juventus, Italy.
Balde ni intermilan
 
Kama timu ikifanyaga vizur wanasema ni juhudi za Serikali ya awamu ya tano basi hata ikifanya vibaya pia waseme vivyo hivyo....
 
Back
Top Bottom