ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kwani sisi mashabiki wa Guinea Huwa tunaenda misikitini na makanisani kumtukana Mungu?Mungu yupo pamoja na watanzania walio wengi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sisi mashabiki wa Guinea Huwa tunaenda misikitini na makanisani kumtukana Mungu?Mungu yupo pamoja na watanzania walio wengi!
Tufungue uzi maalumu wa hiyo hoja yako katika jukwaa husika!Kwani sisi mashabiki wa Guinea Huwa tunaenda misikitini na makanisani kumtukana Mungu?
AmenWakishinda sifa ziende kwa mama raisi kipenzi cha wa Tanzania .
Hili ndio tatizo la wabongo. Mambo ya mungu na boli ulionaga wapi wewe?InshaAllah kwa uwezo wake Allah jumlisha wachezaji na watanzania tunakwenda Afcon kwa ushindi wa 2-1!
Uwezo wa kushinda hamna, Wanasiasa wanakwenda kuumbuka leoHatuitaki!
Jibu hoja dogoTufungue uzi maalumu wa hiyo hoja yako katika jukwaa husika!
Hoja ni stars kushinda 2-1 hizo nyingine peleka jukwaa la dini nakuja kukujibu!Jibu hoja dogo
Safi kabisa.Kwani sisi mashabiki wa Guinea Huwa tunaenda misikitini na makanisani kumtukana Mungu?
Ni mtizamo wako!Uwezo wa kushinda hamna, Wanasiasa wanakwenda kuumbuka leo
Una hoja lakini hapa si mahala pake!Hili ndio tatizo la wabongo. Mambo ya mungu na boli ulionaga wapi wewe?
Hao wadhungu hata siku moja usikii mambo ga tumuombe mungu lakini tukiingia uwanja i dhidi yao tunaambulia kipigo. Sasa tuacbe hizo story na tufanye copy and paste toka kwa wadhungu tutafanikiwa
Pipa na mfuniko!Safi kabisa.
Chadema kwa uchocheziTukishinda najua tunatakiwa kumshukuru Mama ikitokea tumefungwa je tumlaumu nani ?🐼
Chadema ni Watanzania Kam wewe CCMChadema kwa uchochezi
Mungu hajabinafsishwa hata maombi ya wa guinea anasikia ili taifa stars ifungwe 3:1Mungu yupo pamoja na watanzania walio wengi!
Vyema kabisa hata mchawi ana maombi yake!Mungu hajabinafsishwa hata mambi ya wa guinea anasikia ili taifa stars ifungwe 3:1
Amka kumekucha ustazi,Niliwacha kuishangilia stars tangu siku ya mechi ya stars dhidi ya bukina faso walipoitungua 2-1 nafikiri 2007 kama sikosei niliipuza baada ya kuingia siasa za maricio maximo na baadhi ya wachezaji nikawaacha na stars yao,
Lakini kwa kiwango chajuzi kipindi cha kwanza kama bacca,Samatta, kapombe na miroshi watajituma kama mechi ya wiki iliyopita basi tunakwenda Afcon bila kipangamizi,watanzania twendeni uwanjani tukashangalie ushindi wa stars leo!
Bahati mbaya nipo safarini ughaibuni lakini kiroho tutakuwa pamoja uwanja kuhanikiza ushindi wetu!
TAIFA STARS NI YA WATANZANIA SIO YA TFF!
Nadhani watajazana na tishet zao zenye picha ya kizimkazi.Uwezo wa kushinda hamna, Wanasiasa wanakwenda kuumbuka leo
Zile za mbowe ni rais!Amka kumekucha ustazi,
Nadhani watajazana na tishet zao zenye picha ya kizimkazi.
bacca kama anachechemeaGuirassyyyyyyyy,anaweka chuma cha pili pale,namna gani mabeki walipoteana.