Kila la kheri Stars inakwenda Afcon Morroco kwa ushindi wa 2-1 leo!

Kila la kheri Stars inakwenda Afcon Morroco kwa ushindi wa 2-1 leo!

InshaAllah kwa uwezo wake Allah jumlisha wachezaji na watanzania tunakwenda Afcon kwa ushindi wa 2-1!
Hili ndio tatizo la wabongo. Mambo ya mungu na boli ulionaga wapi wewe?
Hao wadhungu hata siku moja usikii mambo ga tumuombe mungu lakini tukiingia uwanja i dhidi yao tunaambulia kipigo. Sasa tuacbe hizo story na tufanye copy and paste toka kwa wadhungu tutafanikiwa
 
Hili ndio tatizo la wabongo. Mambo ya mungu na boli ulionaga wapi wewe?
Hao wadhungu hata siku moja usikii mambo ga tumuombe mungu lakini tukiingia uwanja i dhidi yao tunaambulia kipigo. Sasa tuacbe hizo story na tufanye copy and paste toka kwa wadhungu tutafanikiwa
Una hoja lakini hapa si mahala pake!
 
Niliwacha kuishangilia stars tangu siku ya mechi ya stars dhidi ya bukina faso walipoitungua 2-1 nafikiri 2007 kama sikosei niliipuza baada ya kuingia siasa za maricio maximo na baadhi ya wachezaji nikawaacha na stars yao,
Lakini kwa kiwango chajuzi kipindi cha kwanza kama bacca,Samatta, kapombe na miroshi watajituma kama mechi ya wiki iliyopita basi tunakwenda Afcon bila kipangamizi,watanzania twendeni uwanjani tukashangalie ushindi wa stars leo!
Bahati mbaya nipo safarini ughaibuni lakini kiroho tutakuwa pamoja uwanja kuhanikiza ushindi wetu!
TAIFA STARS NI YA WATANZANIA SIO YA TFF!
Amka kumekucha ustazi,
Uwezo wa kushinda hamna, Wanasiasa wanakwenda kuumbuka leo
Nadhani watajazana na tishet zao zenye picha ya kizimkazi.
 
Back
Top Bottom