Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala haito tokea!Guirassyyyyyyyy,anaweka chuma cha pili pale,namna gani mabeki walipoteana.
Dua la kuku!bacca kama anachechemea
Piga hao kizimkazi fcWala haito tokea!
Stars 2 wageni wa ngara23 1Piga hao kizimkazi fc
Mchawi ni wewe na CCM yako !!Mikono yenu imejaa Damu za watu !!Muuuaji weweToa boriti kwenye jicho lako kwanza .........mchawi mkubwa......!
Mungu yupi anayesikiliza maombi ya mtu mwenye dhambi?Mungu yupo pamoja na watanzania walio wengi!
Huwezi jua muuaji bila ya wewe kuwa muuaji!Mchawi ni wewe na CCM yako !!Mikono yenu imejaa Damu za watu !!Muuuaji wewe
Acha kuotaStars 2 wageni wa ngara23 1
Halafu wakishinda sifa ziende kwa mama au sioNiliwacha kuishangilia stars tangu siku ya mechi ya stars dhidi ya bukina faso walipoitungua 2-1 nafikiri 2007 kama sikosei niliipuza baada ya kuingia siasa za maricio maximo na baadhi ya wachezaji nikawaacha na stars yao,
Lakini kwa kiwango chajuzi kipindi cha kwanza kama bacca,Samatta, kapombe na miroshi watajituma kama mechi ya wiki iliyopita basi tunakwenda Afcon bila kipangamizi,watanzania twendeni uwanjani tukashangalie ushindi wa stars leo!
Bahati mbaya nipo safarini ughaibuni lakini kiroho tutakuwa pamoja uwanja kuhanikiza ushindi wetu!
TAIFA STARS NI YA WATANZANIA SIO YA TFF!
Sio mbaya kupeleka sifa kwa mama leo watu wanapata mtoko wa bure!Halafu wakishinda sifa ziende kwa mama au sio
Mmh wacha mjadala upelekwe bungeni!Tukishinda leo basi kesho mama atangaze iwe public holiday watu tuenjoy kufuzu kwa kudinyana vilivyo maana kwa furah wake zetu watatususia mbususu
Bunge la nini tena. Every success must be celebrated. Leo taifa stars ikishinda kesho iwe public holiday tushereheke ushindi vizuriMmh wacha mjadala upelekwe bungeni!
Imepita hiyoo!Bunge la nini tena. Every success must be celebrated. Leo taifa stars ikishinda kesho iwe public holiday tushereheke ushindi vizuri
Wanasiasa wameumbuka leo!Uwezo wa kushinda hamna, Wanasiasa wanakwenda kuumbuka leo
Bacca anachechemea!bacca kama anachechemea