Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,197
Ukiangalia ubora na hali ya timu kati ya mbeya city na mwadui fc , nikama wote wanahali mbaya!
Kuelekea mechi ya leo kati ya mbeya city vs Mikia fc,naona kabsa mikia wanaenda kujipigia tu (kama watajipanga vema)!
Ndugu Zangu watani zangu, mikia fc, bakuli fc, m300 fc, Muhamed fc, naombeni mkajitume ili kurejesha imani kwa mashabiki zenu ambao wana hali mbaya kutokana na chama kubwa young african tanzania kujipigia kila timu inatokatiza mbele yake!!
Nafaham kabisa mnajua bingwa ameshapatikana (Yanga) lakini katika kukamilisha ratba ni vema mkapata ushindii wa matumaini.
NB: Mbeya city sio wakitoto aiseeπ€π€, mkianzisha kina kahata wenu lazima mvua iwanyeee!!,. Pia kama huyo konde wenu hamjamuonya juu ya tabia yake ya kupoteza mda kujipiga chenga,na kukenua kenua hovyo, ni dhahiri kipigo is upon you mikia!!
Game id :56777
Venue:
Time :10;00
FT: Mbeya city 2 vs Mikia 2
#jr
Kuelekea mechi ya leo kati ya mbeya city vs Mikia fc,naona kabsa mikia wanaenda kujipigia tu (kama watajipanga vema)!
Ndugu Zangu watani zangu, mikia fc, bakuli fc, m300 fc, Muhamed fc, naombeni mkajitume ili kurejesha imani kwa mashabiki zenu ambao wana hali mbaya kutokana na chama kubwa young african tanzania kujipigia kila timu inatokatiza mbele yake!!
Nafaham kabisa mnajua bingwa ameshapatikana (Yanga) lakini katika kukamilisha ratba ni vema mkapata ushindii wa matumaini.
NB: Mbeya city sio wakitoto aiseeπ€π€, mkianzisha kina kahata wenu lazima mvua iwanyeee!!,. Pia kama huyo konde wenu hamjamuonya juu ya tabia yake ya kupoteza mda kujipiga chenga,na kukenua kenua hovyo, ni dhahiri kipigo is upon you mikia!!
Game id :56777
Venue:
Time :10;00
FT: Mbeya city 2 vs Mikia 2
#jr