Kila la kheri Wekundu wa Msimbazi katika mechi yenu ya leo,Kama mnauwezo Fanyeni kama sisi Jana!!

Kila la kheri Wekundu wa Msimbazi katika mechi yenu ya leo,Kama mnauwezo Fanyeni kama sisi Jana!!

Simba wachezaji wengi wamechoka ki mwili ni swala la muda tu Hali itakua mbaya zaidi. Wachezaji walio sajiliwa kuongeza nguvu wengi hawapati nafasi waliopo miili inaelekea kugoma umebaki uwezo wa baadhi ya wachezaji Ila timu Kama timu imechoka. Mambo ya kusajili kwaajili ya ku mkomoa yanga yanakwenda kuibomoa Simba.
Haya ni mawazo ya uto kutokea utopolon inabidi tuyaheshim hata uto nao ni watu
 
Yule kocha wenu alimaliza kila kitu.....mashabiki wa yanga ni uneducated people. Akaenda mbali kdgo kwa kuwaita manyani na ma mbwa wa kubwekabweka. Na kwa hiki ulichoandika Unathibitisha ukwel huo. POLE. Mvaa Madela. Vjola fc
kacheze kuch kuch huko,huna lolote by the way.. .. yani wew ndo umeelimika?? Kama wewe ndo umeelimika basi kuna kila sababu ya kukaa chini kama taifa na kujadili mstakabali wa elim 🤔
 
Haya ni mawazo ya uto kutokea utopolon inabidi tuyaheshim hata uto nao ni watu
maneno yoooote,ka goli kamoja😂😂😂😂 alafu mbeya wamechomoa sema mmebebwa na usimba na uyanga😂😂
 
We ndume nzima kushonewa madera unadhani mchezo?

Hakuna watu utopoloni ni zaidi ya mbumbumbu
Yule kocha wenu alimaliza kila kitu.....mashabiki wa yanga ni uneducated people. Akaenda mbali kdgo kwa kuwaita manyani na ma mbwa wa kubwekabweka. Na kwa hiki ulichoandika Unathibitisha ukwel huo. POLE. Mvaa Madela. Vjola fc
 
Ila misha bana haya,we acha tu...yaani wakati watu wanfikiria habari za makundi Club bingwa Africa...kuna utopolo unaongea habari za Mbeya City...

Huku in kukoseana adabu...tumieni muda huu ku promote biashara yenu ya Madera.
hahahah eti makundi😂😂😂 yani mikia bana!! Huko caf mnaenda kufanya nini zaidi ya kutoa mdinyo??😂😂
 
hahahah eti makundi[emoji23][emoji23][emoji23] yani mikia bana!! Huko caf mnaenda kufanya nini zaidi ya kutoa mdinyo??[emoji23][emoji23]
Wa kuwakilisha nchi anawakilisha nchi. Wale wa mechi kubwa za morogoro na mwanza nao tunawaona. Hii ndio maana halisi ya timu bora
 
wamejitahidi kwelikweli
Kwan mwenye tabia na desturi ya ushindi wa goli moja moja si yanga. Yaan Yale ma5 yamegeuka fimbo. Acha upopoma huo. Simba imeshinda had goli 7 na manne, matatu Mara nying tu. Knuth bitisha hilo taja idadi ya magoli ya kufunga ya timu zote kisha angalia simba aliyonayo. MAGOLI 10 Zaidi kwa yanga
 
Back
Top Bottom