Kila la kheri Wekundu wa Msimbazi katika mechi yenu ya leo,Kama mnauwezo Fanyeni kama sisi Jana!!

Kila la kheri Wekundu wa Msimbazi katika mechi yenu ya leo,Kama mnauwezo Fanyeni kama sisi Jana!!

Simba ana magoli 10 said ya yanga. Unasemaje boya ww
Usipoteze muda kubishana na utopolo, kama kocha wao aliwaita uneducated manyani majibwa sisi ni nani hadi tupinge.
Leo zilikuwa zinatajwa rekodi za Simba
Ni timu pekee Tanzania kufika hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya mabingwa afrika
Nintimu pekee Tanzania kufika fainali ya michuano ya Afrika
Waambie utopolo waweke rekodi zao mojawapo ni timu pekee Tanzania ambao viongozi wake walifungiwa kwa kutoa rushwa kwa marefa michuano ya Afrika
 
Usipoteze muda kubishana na utopolo, kama kocha wao aliwaita uneducated manyani majibwa sisi ni nani hadi tupinge.
Leo zilikuwa zinatajwa rekodi za Simba
Ni timu pekee Tanzania kufika hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya mabingwa afrika
Nintimu pekee Tanzania kufika fainali ya michuano ya Afrika
Waambie utopolo waweke rekodi zao mojawapo ni timu pekee Tanzania ambao viongozi wake walifungiwa kwa kutoa rushwa kwa marefa michuano ya Afrika
mikia kichwani ni weupe sana aisee
 
Mechi ya Sokoine bahati nzuri nilikuwepo kiwanjani,Mikia mmeshinda kwa uzoefu tu,ila kiwango kibovu sana
 
maneno yoooote,ka goli kamoja😂😂😂😂 alafu mbeya wamechomoa sema mmebebwa na usimba na uyanga😂😂
Kama linauma chomoa ,,kuhusu goal nying hizo zinakusubri wewe maana unauzoefu wavipigi heavy kutoka kwa mnyama ,,,,so kafungwa mbeya city unaumia wewe
 

Attachments

  • 2638902_FB_IMG_1607894209353.jpg
    2638902_FB_IMG_1607894209353.jpg
    38.5 KB · Views: 2
Usipoteze muda kubishana na utopolo, kama kocha wao aliwaita uneducated manyani majibwa sisi ni nani hadi tupinge.
Leo zilikuwa zinatajwa rekodi za Simba
Ni timu pekee Tanzania kufika hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya mabingwa afrika
Nintimu pekee Tanzania kufika fainali ya michuano ya Afrika
Waambie utopolo waweke rekodi zao mojawapo ni timu pekee Tanzania ambao viongozi wake walifungiwa kwa kutoa rushwa kwa marefa michuano ya Afrika
Tena walienda kuhonga marefa kwenye mechi dhidi ya Gor mahia....ni wakuwapuuza hawa wavaa madela wana mambo ya ajabu sana.
 
Tena walienda kuhonga marefa kwenye mechi dhidi ya Gor mahia....ni wakuwapuuza hawa wavaa madela wana mambo ya ajabu sana.
Nikikuambia utoe ushahidi juu ya hiki unachosema utanipatia??
 
Wamatopeni hapa lazima afe mechi si chini ya mechi 2.
Kwa mchezo aliyonyesha Jana dhidi ya mbeya city, lazima apoteze mechi kwenye list hiyo. Jana refa kawaokoa wangedondosha point, nafikiri site tumeona mzee nzima alivyobebwa mabegani mwa marefa. Tutaelewana tu
 
Wamatopeni hapa lazima afe mechi si chini ya mechi 2.
Kwa mchezo aliyonyesha Jana dhidi ya mbeya city, lazima apoteze mechi kwenye list hiyo. Jana refa kawaokoa wangedondosha point, nafikiri site tumeona mzee nzima alivyobebwa mabegani mwa marefa. Tutaelewana tu
 
Kwa mchezo aliyonyesha Jana dhidi ya mbeya city, lazima apoteze mechi kwenye list hiyo. Jana refa kawaokoa wangedondosha point, nafikiri site tumeona mzee nzima alivyobebwa mabegani mwa marefa. Tutaelewana tu
Hivi utopolo imeokolewa mechi ngapi na marefa msimu huu? Mechi dhidi ya gwambina refa alikataa goli halali la gwambina. Mnabwabwaja na kubweka kama minyani na mimbwa kama kocha wenu alivyosema.
 
Kwa mchezo aliyonyesha Jana dhidi ya mbeya city, lazima apoteze mechi kwenye list hiyo. Jana refa kawaokoa wangedondosha point, nafikiri site tumeona mzee nzima alivyobebwa mabegani mwa marefa. Tutaelewana tu
Kila mda na mtawala wake. Huu ni muda wa simba km ww si simba utateseka mno. Rais simba, wazir Mkuu simba
 
Back
Top Bottom