Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masau bwire kitu gani? Simba kupiga 5 au 4 ni kitu cha ajabu? Unaongea San coz yanga kushinda goli 2 ni km muujiza kwenu,hamna utamaduni huo.ndio maana mapovu mengi humu.Unataka nimuite masau bwire hapa??😂😂😂
sasa tufanye hivi,kila mtu ashinde game zake (yanga na mikia )then mwisho wa siku tutaona nani winner!!Masau bwire kitu gani? Simba kupiga 5 au 4 ni kitu cha ajabu? Unaongea San coz yanga kushinda goli 2 ni km muujiza kwenu,hamna utamaduni huo.ndio maana mapovu mengi humu.
.Ukiangalia ubora na hali ya timu kati ya mbeya city na mwadui fc , nikama wote wanahali mbaya!!
Kuelekea mechi ya leo kati ya mbeya city vs Mikia fc,naona kabsa mikia wanaenda kujipigia tu (kama watajipanga vema)!
Ndugu Zang watani zangu,mikia fc,bakuli fc,m300 fc,Muhamed fc,naombeni mkajitume ili kurejesha imani kwa mashabiki zenu ambao wana hali mbaya kutokana na chama kubwa young african tanzania kujipigia kila timu inatokatiza mbele yake!!
Nafaham kabsa mnajua bingwa ameshapatikana (Yanga) lakini katika kukamilisha ratba ni vema mkapata ushindii wa matumaini.
NB:mbeya city sio wakitoto aisee[emoji848][emoji848],mkianzisha kina kahata wenu lazima mvua iwanyeee!!,. Pia kama huyo konde wenu hamjamuonya juu ya tabia yake ya kupoteza mda kujipiga chenga,na kukenua kenua hovyo, ni dhahiri kipigo is upon you mikia!!
Game id :56777
Venue:
Time :10;00
FT:mbeya city 2 vs Mikia 2
#jr
Simba itafanya hawa Utopolo warun Mental Disoder maaana wanaumiaaaaaaaaaaa mpaka huruma.Ila misha bana haya,we acha tu...yaani wakati watu wanfikiria habari za makundi Club bingwa Africa...kuna utopolo unaongea habari za Mbeya City...
Huku in kukoseana adabu...tumieni muda huu ku promote biashara yenu ya Madera.
Kabisa mkuu...Simba itafanya hawa Utopolo warun Mental Disoder maaana wanaumiaaaaaaaaaaa mpaka huruma.
Mkuuu nishakwambia Dilunga limbwata alilompa Kishingo siyo la Kitanga bali la Kimakonde. Kahata yuko benchi halafu Dilunga anarukaruka tu bila mpango, hapo ndio utajua Misumari kwenye soka Ippppoooo!kocha anaangalia mpira kama sisi? Dilunga anafanya nini mle. Zimbwe kachoka. hawa wote wana sub nje.
Hili timu sio leo tu bila mlungula hamna kituTimu imecheza kiwango kibaya sana. Walinde hilo gori tu mpira uishe
Uyu kocha hana jipya,hana mbinu kabisa.kocha anaangalia mpira kama sisi? Dilunga anafanya nini mle. Zimbwe kachoka. hawa wote wana sub nje.
Yule kocha wenu alimaliza kila kitu.....mashabiki wa yanga ni uneducated people. Akaenda mbali kdgo kwa kuwaita manyani na ma mbwa wa kubwekabweka. Na kwa hiki ulichoandika Unathibitisha ukwel huo. POLE. Mvaa Madela. Vjola fcUkiangalia ubora na hali ya timu kati ya mbeya city na mwadui fc , nikama wote wanahali mbaya!!
Kuelekea mechi ya leo kati ya mbeya city vs Mikia fc,naona kabsa mikia wanaenda kujipigia tu (kama watajipanga vema)!
Ndugu Zang watani zangu,mikia fc,bakuli fc,m300 fc,Muhamed fc,naombeni mkajitume ili kurejesha imani kwa mashabiki zenu ambao wana hali mbaya kutokana na chama kubwa young african tanzania kujipigia kila timu inatokatiza mbele yake!!
Nafaham kabsa mnajua bingwa ameshapatikana (Yanga) lakini katika kukamilisha ratba ni vema mkapata ushindii wa matumaini.
NB:mbeya city sio wakitoto aisee[emoji848][emoji848],mkianzisha kina kahata wenu lazima mvua iwanyeee!!,. Pia kama huyo konde wenu hamjamuonya juu ya tabia yake ya kupoteza mda kujipiga chenga,na kukenua kenua hovyo, ni dhahiri kipigo is upon you mikia!!
Game id :56777
Venue:
Time :10;00
FT:mbeya city 2 vs Mikia 2
#jr
Labda vjola fc. Wa mama wa madelaSioni namna ambavyo Mwamedi fc ataepuka kipigo leo
Mawazo ya uto kama utojuzi na polis tz,mngetokea wapi nyie mikia?? Yani simba ili ishinde lazima mlambe miguu ya ccc!!!