Kila la kheri Wekundu wa Msimbazi katika mechi yenu ya leo,Kama mnauwezo Fanyeni kama sisi Jana!!

Hivi utopolo imeokolewa mechi ngapi na marefa msimu huu? Mechi dhidi ya gwambina refa alikataa goli halali la gwambina. Mnabwabwaja na kubweka kama minyani na mimbwa kama kocha wenu alivyosema.
Hata mechi na Simba refa aliwaokoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…