''kila la kheri''.....??

kumbuka nadhiri yetu

nadhiri;siku zote nitakupenda,mwingine sitoona,wewe ndio baba Rebbeca na Rebbeca mama mfwimijr,mkuu naona umeigeuza hii mada iwe mfano halisi hahahahahahah haya bwana...
 
Kila lakheri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhiri;siku zote nitakupenda,mwingine sitoona,wewe ndio baba Rebbeca na Rebbeca mama mfwimijr,mkuu naona umeigeuza hii mada iwe mfano halisi hahahahahahah haya bwana...

mummy! kwani hujapendezwa kuwa mfano halisi ili wengine wajifunze?
 
mummy! kwani hujapendezwa kuwa mfano halisi ili wengine wajifunze?

No baby,nimependa hufichi hisia zako kwangu,naahidi kukupenda daima,... kuanzia sasa mimi ni wako..sijali wengine watasema nini..lol
 
Inategemea ntu na ntu kumbuka humu kuna baadhi wanaruhusiwa kuwa na wake hadi wanne πŸ€—πŸ€—πŸ€—na wengine labda hawavutiwa hivyo huamua kukaa pembeni kwenye mtifuano wa kumsarandia mrembo.

JF bwana,mie nilikua nataka kujua kama mnaotoa kila la kheri mko single,ila mnaleta utani..πŸ˜³πŸ˜³πŸ˜³πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ˜±πŸ˜±
 
No baby,nimependa hufichi hisia zako kwangu,naahidi kukupenda daima,... kuanzia sasa mimi ni wako..sijali wengine watasema nini..lol

Nami ahadi yangu kwako ni moja tu, nitakupenda daima, nitembeapo basi kivuli chako ki pembeni yangu
 
Nimewahi kusema "kila la heri" kwa maana ya KILA LA HERI, sikuwahi kufikiria kuwa watu wanaweza kusema "all the best" huku wakimaanisha mengine.

Halafu, if you really need to approach someone, kuna haja kweli kuzunguka mbuyu?
 
Nimewahi kusema "kila la heri" kwa maana ya KILA LA HERI, sikuwahi kufikiria kuwa watu wanaweza kusema "all the best" huku wakimaanisha mengine.

Halafu, if you really need to approach someone, kuna haja kweli kuzunguka mbuyu?

There is no need of roaming around the bush, you have to be directly to point!
 
Hyo Avatar imekuongezea credit saana hapa JF kuliko ile ya zamani
 
Rebeca huwa una akili nyingi, ila basi tu. You are closer to genius.

-Kaveli-
 
Kila la kheri
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…