Kila limsemo likitoa we unalo. Sasa unamwambia nani habari za Maokoto?

Kila limsemo likitoa we unalo. Sasa unamwambia nani habari za Maokoto?

Watu Kama Navy kenzo na Akili zao Timamu unawasikia Wanaimba Maokoto kwenye Track ya Mabantu, Imebidi niufute Immediately baada ya kuambulia Pumba Tupu.
 
We ni mtu mzima, huu ujinga wa kudandiadandia mambo unatoa wapi? Kila msemo unauvalia njuga. Kipindi wanasema wahenga ulikomaa kishenzi na huo msemo. Nakumbuka ukaja kukomaa na "Injinia soma hiyooooo" hadi ukawa kero kuu. Mara ukaja na Chap kwa haraka, ukaenda na mzee baba. Kuna mingine umepita nayo hapa kati. Siku hizi umekuja na Maokoto. Halipiti saa hujasema Maokoto. Punguza huu ujinga na anza kujiheshimu.
Acha taarabu, fanya hiphop, MTAJE
 
Back
Top Bottom