raiswenu
JF-Expert Member
- Apr 20, 2018
- 848
- 1,535
Kila mkipishana tegemea kauli hizi kutoka kwake, uchambuzi wa hizi kauli;
1. kama kuna mahali unaandaliwa chakula tofauti na bajeti yetu ya kila mwezi ruksa katumie!
2. Sipo kwa ajili ya kukatisha imani yako but unaweza tenda vile unavyoona ni sahihi!
3. Be free with your things, me ni nani wa kukatisha mipango yako cha zaidi tuombeane heri!
Ni kama kuna ujumbe ndani yake.
Pia soma: Wadada wenye tabia hizi nawachulia kama Sociopaths
1. kama kuna mahali unaandaliwa chakula tofauti na bajeti yetu ya kila mwezi ruksa katumie!
2. Sipo kwa ajili ya kukatisha imani yako but unaweza tenda vile unavyoona ni sahihi!
3. Be free with your things, me ni nani wa kukatisha mipango yako cha zaidi tuombeane heri!
Ni kama kuna ujumbe ndani yake.
Pia soma: Wadada wenye tabia hizi nawachulia kama Sociopaths