Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
why unajipakulia minyama tu peke yako? hii ni one sided story we wish tumsikie bibie nae ana yapi ya kusema, kama n mambo yakuzungumza kaeni myamalize1. Ni mambo ya kuzungumza tu wala siyo kwa kauli hizo
2. Huwa hatuna mizozo ya mara kwa mara
3. Huyu ni dizaini ya wanawake wenye wivu uliopitiliza, wakati mwingine huwa nadhani maybe hajiamini kutokana na matukio ya nyuma aliyowahi kufanya.nilisamehe for real.