Kila mkipishana anatoa kauli hizi! Zimebeba ujumbe gani?

why unajipakulia minyama tu peke yako? hii ni one sided story we wish tumsikie bibie nae ana yapi ya kusema, kama n mambo yakuzungumza kaeni myamalize
 
why unajipakulia minyama tu peke yako? hii ni one sided story we wish tumsikie bibie nae ana yapi ya kusema, kama n mambo yakuzungumza kaeni myamalize
Wala hatuna ugomvi kusema,ila hizo kauli sasa
 
Wakati mwingine ku define hisia za mwanamke ni ngumu sana. Hizi kauli zimenishtua
Iliwahi nitokea na kauli zilikua hizo hizo kama kuna vitu anaona mmemalizana ,nilipojua nikaanza mdogo mdogo kuchukua hatua.
 
Iliwahi nitokea na kauli zilikua hizo hizo kama kuna vitu anaona mmemalizana ,nilipojua nikaanza mdogo mdogo
Nilitaka none mtazamo wake kuhusu kauli zake, bila shaka ana plan
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ your are so complicated, mbona hata siko hivyo madam
unajisahau sana gentleman, unajipulizia hadi pafyumu ya mchepuko?

lazima ukutane na hizo kauli, nahau , na misemo daily πŸ’
 
unajisahau sana gentleman, unajipulizia hadi pafyumu ya mchepuko?

lazima ukutane na hizo kauli, nahau , na misemo daily πŸ’
Siyo mchepuko umeni quote vibaya bibieπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ni wife to be. Simtegemei kwa chochote, mimi ndio natoa huduma
 
Siyo mchepuko umeni quote vibaya bibieπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ni wife to be. Simtegemei kwa chochote, mimi ndio natoa huduma
ndiyo,
unamnyanyasa sana kisaikolojia mwenzako, simu zake hupokei kwa wakati, wala sms zake hujibu chap chap kama zamani,

akikuomba bando sikuizi maneno na visingizio kibao, mara ooh, kuna mchongo nauskilizia ukitiki tu nakutumia,

mara ooh sijui leo jioni ndio tunalipwa ntakutumia usijali,

halafu ndio imetoka hiyo n.k....

unategemea katika mazingira hayo ukose hizo nahau kweli, badilika bana gentleman πŸ’
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hizo ni tabia za teenagers sina. Niliposema nahudumia,nahudumia kweli. Bajeti ya mwezi mzima inatoka kwenye mfuko wangu.sijawahi kujua hata salary lake anatumiaje. Kuna kipindi nilifuma documents anekopa benk. Sijawahi kujua mpaka leo hela ilienda wapiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…