Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Ingeleta maana kama nyani ni wapya ila pori ni lile lile, maana nyani huzaliana na hufa au kuhama.Title ile ile, contents editable.
Wanasema pori jipya nyani wale wale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingeleta maana kama nyani ni wapya ila pori ni lile lile, maana nyani huzaliana na hufa au kuhama.Title ile ile, contents editable.
Wanasema pori jipya nyani wale wale.
Ingeleta maana kama nyani ni wapya ila pori ni lile lile, maana nyani huzaliana na hufa au kuhama.
Jambo linalotishia usalama wa nchi na raia wake ni kwa Mataifa makubwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi zinazoendelea kutokana na ama kwa maslahi yao (hasa ya kiuchumi) au uchu wa madaraka wa viongozi wake kwa kile kinachodaiwa utawala wa kidikteta. Mifano ni mingi km Libya, Iraq, Afghanstan, Somalia nkKila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.
Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.
Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Update
Mabadiliko ktk katiba
Lissu kuongea , watanzania jambo limetikisa siasa zetu hasa ikizingatiwa anautaka Urais
Mbowe kujeruiwa dodoma
Updates 24.07.2020
Kifo Cha mwanamapinduzi wa uchumi was Tanzania Mh Benjamin William Mkapa. Rest in peace Father
Next
Yasio julikana kujulikana...
Pray for the nation
Amen
Sijisifii wala sitaki sifa Mungu mtowaji. Mwisho kawaida SanaPunguza basi kujisifia kamanda....[emoji16][emoji16][emoji16]
Utumie uwezo huo kwa faida ya wengi na siyo kuumiza watu. Fungua kituo/kanisa usimame katika haki uweze kusaidia watu kama uwezo wako huu unakupa nguvu za kuombea watu mambo mema na yakawatokea. Usiutumie kutendea mabaya tu kama nilivyokusoma kwenye ule uzi mwingine ambako watu uliowatakia mabaya wengi kweli mabaya yaliwatokea. Kama ni uwezo wa Mungu basi utumie kutendea mema na kusaidia watu. Kama ni uwezo wa nguvu za giza basi endelea kuutumia hivi hivi ...[emoji1545][emoji1545][emoji1545]