Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,036
- 1,286
Nmeshtuka balaa dahEehhh inamaana aliongea haya kabla ya tukio !?? Mtoa post itakuwa ni undercover
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeshtuka balaa dahEehhh inamaana aliongea haya kabla ya tukio !?? Mtoa post itakuwa ni undercover
Eehhh inamaana aliongea haya kabla ya tukio !?? Mtoa post itakuwa ni undercover
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.
Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.
Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Update
Mabadiliko ktk katiba
Lissu kuongea , watanzania jambo limetikisa siasa zetu hasa ikizingatiwa anautaka Urais
Mbowe kujeruiwa dodoma
Updates 24.07.2020
Kifo Cha mwanamapinduzi wa uchumi was Tanzania Mh Benjamin William Mkapa. Rest in peace Father
Next
Yasio julikana kujulikana...
Pray for the nation
Amen
La Ben uliliona katika kiungo gani mkuu wewe Ni mtu ambae uko well informed unaeamua ku defect system.Kwanini uniseme hivyo kwajambo nimeona ktk roho
Upo sahihi mtumishi Luka 21:28Mungu ana Kanuni(principles) za kusikia na kujibu MAOMBI ya watu wake.
Kama wewe ni mkristo kweli fuatilia Habari ya Nabii Yona alipotumwa na Mungu kwenda Jiji la Ninawi baada ya maasi. Mungu alikuwa amedhamiria kuiangamiza Ninawi lakini aligaili baada ya Mfalme, Watu kuvaa magunia na Wanyama kutubu dhambi na makosa yao!!
Je, Magufuli na Watz na Wanyama wamefanya hivo?
Bila TOBA ya kweli Mungu hawezi kusikia maombi ya Mnafiki!
Huwez Amin sina mahusiano nao japo nawapenda sanaAliongea haya lakini leo hii kaweka update kuhusu kifo cha Mkapa Mkuu.
Punguza basi kujisifia kamanda....[emoji16][emoji16][emoji16]Nina uwezo wa ajabu Sana Sana kissing najiogopa
Huyo ndugu tangu nimuweke kwenye ignore list naona amepotea kabisa jukwaaniKweli nchi ipo shwari. Bia yetu huko uliko, unakumbukwa.
Huyo ndugu tangu nimuweke kwenye ignore list naona amepotea kabisa jukwaani
Huwez Amin sina mahusiano nao japo nawapenda sana
Jipe moyoTanzania iko juu ya Mwamba imara sanaa hasa hiki kipindi cha awamu hii ya tano.
Mtikisiko wowote utakuwa ni wa kuimarisha zaidi wala si kubomoa.
"Tanzania is under His eyes"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo utabiri wako utakuwa unaongeza matukio kila siku? Kama hukuyaweka ulipoandika mwanzoni, usijaribu kuchota hisia za watu na kulazimisha mambo kuwa uliyatabiri wakati si hivyo.Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.
Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.
Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Update
Mabadiliko ktk katiba
Lissu kuongea , watanzania jambo limetikisa siasa zetu hasa ikizingatiwa anautaka Urais
Mbowe kujeruiwa dodoma
Updates 24.07.2020
Kifo Cha mwanamapinduzi wa uchumi was Tanzania Mh Benjamin William Mkapa. Rest in peace Father
Next
Yasio julikana kujulikana...
Pray for the nation
Amen
Kwa hiyo utabiri wako utakuwa unaongeza matukio kila siku? Kama hukuyaweka ulipoandika mwanzoni, usijaribu kuchota hisia za watu na kulazimisha mambo kuwa uliyatabiri wakati si hivyo.