Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

Sote ni wapangaji Hakuna mwenye hati ya kuishi milele,Kama unatoa roho za wenzio nawe itatolewa,kifo pekee ndo uunganisha mtawala na mtawaliwa, tajiri na masikini.
Maisha ya dunia ni ya kuukimbiza upepo.

Utakuwa umenifananisha na kina manjagata, tz mbogo, na wale wengine lb7?

Usitake ncheke.

Mbona utakuwa umenipa sifa za ujenerari wakati hata ukuruta chapa nyau chapa vumbi sina?

Hiiiii bagosha!
 
Huyu jamaa anachukuwa mitandaoni tu au hata kwenye maisha ya kawaida?

Maana sielewi amsha amsha ninayoiona mitandaoni ni tofauti na kwenye maisha halisi..!
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Update
Mabadiliko ktk katiba
Lissu kuongea , watanzania jambo limetikisa siasa zetu hasa ikizingatiwa anautaka Urais
Mbowe kujeruiwa dodoma
Updates 24.07.2020
Kifo Cha mwanamapinduzi wa uchumi was Tanzania Mh Benjamin William Mkapa. Rest in peace Father
Next
Yasio julikana kujulikana...
Pray for the nation
Amen
So? Kipi ni kipi?
 
God will remember us! Yaani Mungu atukumbuke sisi kasumbufu ambazo hatuna dira wala maono! Tunasahau kuwa Mungu anao watu wengi sana wakuwahudumia sio watanzania pekee ambao tumekuwa wasumbufu kwa kuomba mara mbilimbili hata kabla hajatujibu; huko ni kumpigia makelele ya usumbufu, sema tujiandae kupambana na hali zetu.
Uko sahihi kama mtu atatafakari na kuweka itikadi ya kidini pembeni

Ni lazima tujisaidie kwanza huku tunaomba Mungu. Huwezi sema Mungu nisaidie chakula bila wewe kulima. Hatuwezi sema Mungu tusaidie kuezeka darasa bila kuonyesha juhudi za kuchangia mabati na hapo ndipo Mungu atabariki njia zako za kupata hicho cha kuchangia maana umeweka nia.
Hakuna sadaka ilobora kama kuchangia elimu maana itakwamua jamii toka umaskini
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Update
Mabadiliko ktk katiba
Lissu kuongea , watanzania jambo limetikisa siasa zetu hasa ikizingatiwa anautaka Urais
Mbowe kujeruiwa dodoma
Updates 24.07.2020
Kifo Cha mwanamapinduzi wa uchumi was Tanzania Mh Benjamin William Mkapa. Rest in peace Father
Next
Yasio julikana kujulikana...
Pray for the nation
Amen
Mbona mnapenda kutia watu hofu nyie watu !!
 
Nachoona ni updated post, sasa huo utabiri uliotimia uko wapi wazee?
 
Back
Top Bottom