Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

Naskia covid imepiga hodi kwa jiwe, kwa kweli tuzidi kumuombea tu.
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.

Amen
Acha kuiombea nchi yetu

kush na Wisdom
 
Najua wapo wasio na iman ila kila binaadam anahali ya woga pale jina la mungu likitajwa kwahivo maombi sana, hii coona itasepa ilikotoka na kama ilitengenezwa basi adhabu itawarudia na hawataisha kutapatapa.
 
Soma comment ya mtoa mada alipokuwa anamjibu ndg/late Ben mwaka 2016...[emoji116]

"
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati...
Take care this is a nation kaa mbali"
ben alipaswa awe smart kuwaelewa watu kama huyu.

ni ujinga kufanya harakati kama kichaa.
 
ben alipaswa awe smart kuwaelewa watu kama huyu.

ni ujinga kufanya harakati kama kichaa.
Alikijua kikombe kwa nje,sawa na wakenya wanavotamani sababu awakijui kwa ndani.Mpe pesa au madaraka uijue tabia yake
 
Naskia covid imepiga hodi kwa jiwe, kwa kweli tuzidi kumuombea tu.
Watu waovu uchelewa kufa kuliko watu wema.Mda mfupi Kama taifa tumepoteza watu wenye faida kwa Jamii ,Mfuruki,Mengi,Ruge,Rwakatare,Mitimingi, kuliko wasio na faida ambao ni ngumu kuziba mapengo yao
 
wewe acha kuwapa watu taharuki kutokana na vigezo vyako Kuna mijinga humu akili zao zimehama watameza kila kitu hata mavi......nenda asali wewe na mkeo......alafu asali ni nini???....PUMBA!!!!......
 
Mungu ana Kanuni(principles) za kusikia na kujibu MAOMBI ya watu wake.
Kama wewe ni mkristo kweli fuatilia Habari ya Nabii Yona alipotumwa na Mungu kwenda Jiji la Ninawi baada ya maasi. Mungu alikuwa amedhamiria kuiangamiza Ninawi lakini aligaili baada ya Mfalme, Watu kuvaa magunia na Wanyama kutubu dhambi na makosa yao!!
Je, Magufuli na Watz na Wanyama wamefanya hivo?
Bila TOBA ya kweli Mungu hawezi kusikia maombi ya Mnafiki!
Ndio maana tunasema humu kila siku, bible ni uzushi /story za kutunga tu, hivi wanyama walitubu vibi hapo kwamfano?

Na wewe mkubwa mzima / wenda una watoto nyumbani, lakini umeamini Nguruwe alitubu kwa mungu?

Jinga sana wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... ni ujinga kufanya harakati kama kichaa.
Tatizo kuna vijana wakichukuliwa toka vyuoni wakalishwa ujinga na baadhi ua wanasiasa wanajaa maji kichwani, wakati huohuo hajapambana na maisha au kuwa na kizazi chake (familia)

Akipewa kagari nyumba na uhakika wa kubadiri cadet na kuingia kituo cha mafuta tayari anakuwa mwanaharakati kisiasa.
(Unakufa kwa chatu kukuminya na kukumeza)
 
Tatizo kuna vijana wakichukuliwa toka vyuoni wakalishwa ujinga na baadhi ua wanasiasa wanajaa maji kichwani, wakati huohuo hajapambana na maisha au kuwa na kizazi chake (familia)

Akipewa kagari nyumba na uhakika wa kubadiri cadet na kuingia kituo cha mafuta tayari anakuwa mwanaharakati kisiasa.
(Unakufa kwa chatu kukuminya na kukumeza)
Wewe ndio ulitaka iwe hivyo. So, umefurahi hapo? Au sio?
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.

Amen
Wanaofa ya masihara waache, Kuna matatizo mengine ni ya kujitafutia.
 
Pole naona umeguswa na imeingia sawasawa.
But mnaharibu vijana wafundisheni maisha kwanza!.
Honestly, nakuona mtu fulani snitch wa kitengo. Na michezo yenu ya kidhalimu. Fresh lakini kwa kuwa kuna kazi nyingi za kuendesha maisha ila sio kila kazi ni halali ingawa inaweka mkate mezani.
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.

Amen
God will remember us! Yaani Mungu atukumbuke sisi kasumbufu ambazo hatuna dira wala maono! Tunasahau kuwa Mungu anao watu wengi sana wakuwahudumia sio watanzania pekee ambao tumekuwa wasumbufu kwa kuomba mara mbilimbili hata kabla hajatujibu; huko ni kumpigia makelele ya usumbufu, sema tujiandae kupambana na hali zetu.
 
God will remember us! Yaani Mungu atukumbuke sisi kasumbufu ambazo hatuna dira wala maono! Tunasahau kuwa Mungu anao watu wengi sana wakuwahudumia sio watanzania pekee ambao tumekuwa wasumbufu kwa kuomba mara mbilimbili hata kabla hajatujibu; huko ni kumpigia makelele ya usumbufu, sema tujiandae kupambana na hali zetu.
Ajabu kubwa sana Mungu hatazami kama mwanadamu atazamavyo🤣🤣

1Samwel16:7
Luke 16:15
John 8:15
Nampenda Mungu
 
Back
Top Bottom