Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

You cross the bridge when you reach it. Unawataka watu wasali, kwa jambo ambalo ni la 'huenda kukatokea'. Kesho utakuja na hadithi ya nguvu ya maombi, na Bw Yesu asifiwe kibao.
 
Mbowe kujeruiwa Dodoma, huyu mtoa post anatisha. Labda na mengine yanasubiri muda tu
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Update
Mabadiliko ktk katiba
Lissu kuongea , watanzania jambo limetikisa siasa zetu hasa ikizingatiwa anautaka Urais
Mbowe kujeruiwa dodoma

Next
Yasio julikana kujulikana...
Pray for the nation
Amen
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Update
Mabadiliko ktk katiba
Lissu kuongea , watanzania jambo limetikisa siasa zetu hasa ikizingatiwa anautaka Urais
Mbowe kujeruiwa dodoma

Next
Yasio julikana kujulikana...
Pray for the nation
Amen
More people copy this like never before na kubadilisha kichwa cha habari
 
Usidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu

Nchi ipo shwari

Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya

Kweli nchi ipo shwari. Bia yetu huko uliko, unakumbukwa.
 
Wauaji uogopa kifo japo upenda kuuwa

Statement yako ni kweli lakini essence yake wapi?

IMG_20200725_065521_195.jpg


Itapendeza ukidadavua mkuu.
 
Back
Top Bottom