Kila mtu aandike kitu ambacho anaamini watu wengi hawakijui

Kila mtu aandike kitu ambacho anaamini watu wengi hawakijui

Mimi nimegundua kama Yanga wameweza kumpa bahasha kipa wa Azam basi Azam hawana pesa ya kumpa Fei Toto😄
Kocha wa AZAM anafanya kusudi AZAM asishinde akicheza na Yanga, no crosses, no long balls, no goal intent, no intensity, kuna wachezaji wa AZAM pia wanakula Rushwa dhidi ya Yanga.
 
20221227_102938.jpg
 
Watu wengi hawajui kuwa Oppo Find X6 Pro ina kamera kali kuliko Samsung Galaxy S23 Ultra [emoji28][emoji28]
 
The dying follows from just vomiting excessively. This is how they made people stop having alcohol. When drunk just feed them milk and they will vomit and nauseate. Just a smell of alcohol will keep bringing the same symptoms, hence stoping having alcohol. .
If you vomit without proper management you eventually might end up dead. I meant literally [emoji4]

Ukiona mtu anandika hence kwenye maelezo yake ya kiingereza huwa inashangaza kdgo hasa akiwa mtu mzima
 
Ukiona mtu anandika hence kwenye maelezo yake ya kiingereza huwa inashangaza kdgo hasa akiwa mtu mzima
we jamaa kama nimekukosea nisamehe sana naona unanishambulia sana. Niko humu kufurahi sio kugombana na watu.

Nyuzi zangu naomba upite nazo kule potezea sio lazima ujenge ugomvi au taharuki zisizo na lazima.

Dunia ina watu 7billion usipende kuharibu uwepo wangu ndani ya JF. .
 
we jamaa kama nimekukosea nisamehe sana naona unanishambulia sana. Niko humu kufurahi sio kugombana na watu.

Nyuzi zangu naomba upite nazo kule potezea sio lazima ujenge ugomvi au taharuki zisizo na lazima.

Dunia ina watu 7billion usipende kuharibu uwepo wangu ndani ya JF. .

Kuna neno gani baya lilioandikwa mpka ukajiona JF ni yako.

Wewe ni nani mpka nyuzi zako au comment yako isiwe quoted?

Sasa unaandika madudu mtu asikurekebishe

Grow up
 
Kuna neno gani baya lilioandikwa mpka ukajiona JF ni yako.

Wewe ni nani mpka nyuzi zako au comment yako isiwe quoted?

Sasa unaandika madudu mtu asikurekebishe

Grow up
Unapenda ligi kama mtoto mdogo ay unaona kila mtu unalingana nae.

Neno Hence lina shida gani useme wewe genius. Unatafuta umaarufu kwa sababu za kipuuzi JF kuna post z kutosha unaweza kuchanga yeyote zangu pita kule hatuwezi fanana akili na mawazo. Kama una akili nyingi acha kusahihisha wenye akili ndogo

Either nikue au nisikue wewe inakuhusu nini? Acha kutafuta league pasipo hitajika na bila sababu
 
Mungu hakumuumba mbwa bali binadamu...

Pia kuku anashabihiana kwa ukaribu na mamba kuliko kenge anavyoshabihiana na mamba
 
Back
Top Bottom