Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Ukitaka kukipata unacho unacho kipenda kichukie,
na ukitaka kukikosa unachokipenda kipende
na ukitaka kukikosa unachokipenda kipende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 UkweeeliiiiSiku ukivaa hovyo hovyo usipo pendeza ndo unakutana na demu unae mzimia
Kama kwenu kuna ng'ombe basi utakutana nae ile siku uko na baiskel unatoka kukata majani, ilimradi tu uonekane huna maana.
Unabisha na hujafanya utafiti, tabularasaChai
🙄MhWe jamaa!!
Mimi nimegundua kuwa kuna uhusiano mkubwa wa Majini na hiyo dini.Uislam ni dini ya kweli
Endelea kugundua mpka ugundue kuwa hii dini ni sahihi [emoji23]Mimi nimegundua kuwa kuna uhusiano mkubwa wa Majini na hiyo dini.
Uongo mtupu,mtu anatoka kunywa Pombe na anakunywa maziwa tena nusu Lita akiamini inapunguza sumu ya Pombe na hii Ni kila baada ya kunywa Pombe na hakuna aliekufa.Kunywa pombe unywe na maziwa mlevi sugu.
RIP in advance
Nimegundua kuwa huna akili..Nimegundua avatar yangu ni maarufu sana jamiiforum.
Sio kweli , hio inaitwa 'Reverse psychology ' it's very risky unaweza kukutana na Ndoige wakati mwingine..Ukitaka kukipata unacho unacho kipenda kichukie,
na ukitaka kukikosa unachokipenda kipende
Kwa mfano ukimpenda mwanamke onyesha huna time nae atakupenda piaSio kweli , hio inaitwa 'Reverse psychology ' it's very risky unaweza kukutana na Ndoige wakati mwingine..
Are you serious?Ukinywa pombe na maziwa fresh unaweza kufa😁
sawa mrembo.unifundishe Basi.au....?Nimegundua hujui kuandikaaaaaaaaa
Hii ni kweli kabisaRula ya sentimita 30 inayotumiwa na wanafunzi wengi ni ndefu kuliko ndoo ndogo ya maji
Very serious. Though people are claiming they have drunken alcohol with milk. Perhaps it is with different alcoholic beverages. .Are you serious?
Wewe kuna kitu unawatafuta STAR-TV... unajua kwamba Star-tv ni moja ya chombo huko afrika mashariki ambacho kimetoa waandishi wengi kwenda kufanya kazi media kubwa kubwa nchi zilizoendelea huko dunia ya kwanza?!Mimi nimegundua star tv hawasomi habari mpaka itv waisome kwanza, ili waangalizie kichwa cha habari.
Pili nimegundua baskeli iliyotolewa break inakimbia sana kuliko yenye break.
Na wewe umegundua nini?