BuDDaH MBiSHi
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 468
- 495
NdomanakeNa attention
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdomanakeNa attention
Huyo wa mwisho hapo ni typing error or?Nimegundua viongozi wengi wa Nchi za Kiafrika nia yao kubwa ni kujinufaisha wao na familia zao tu na si kuwasaidia kuwanufaisha Wananchi wao.
Wachache mno ndio wanaojitoa kwa dhati kwaajili ya Wananchi.(JK Nyerere na JP Magufuli)
Mbona nshakunywa sana mimi na sio mara mojaUkinywa pombe na maziwa fresh unaweza kufa[emoji16]
We jamaa!!Usiku ukiwa umelala minyoo huwa inatoka nje kupata hewa. .
Ila ukiwa na minyoo mingi huwa inatoka puani. Ukiona mtoto pia zote mbili Zina minyoo hapumui vizuri. Hakikisha unavuta mnyoo wa upande mmoja. Ukivuta wote wawili wakakatika unaweza is mtoto. Wakati mwingine anaweza kuwa kichwa kimetoka upande mmoja wa pua na mkia umetoka upande wa pili. .
Seen this with my own eyes. .
Atajuaje kuwa 'wengi' hawakijui? Je wengi ni wangapi na wa wapi?Mimi nimegundua star tv hawasomi habari mpaka itv waisome kwanza, ili waangalizie kichwa cha habari.
Pili nimegundua baskeli iliyotolewa break inakimbia sana kuliko yenye break.
Na wewe umegundua nini?
KheUislam ni dini ya kweli
Vzuri kabisaNimegundua kuwa pesa za sarafu zina thamani kuliko za noti.
Nimewaza mshangao wako😂😂😂Duu! Kweli mkuu?