Kila mtu aandike kitu ambacho anaamini watu wengi hawakijui

Kila mtu aandike kitu ambacho anaamini watu wengi hawakijui

Nimegundua pia kizazi cha viongozi wa awamu ya kwanza kwa Tanzania wengi si wala rushwa hata kama wananafasi ya kufanya hivyo au wenzao wanaokula rushwa wao huweza kujizuia.
 
Nimegundua pia wanawake wenye mimba wanajidekeza sana kisa tu wanamimba. Kuna wenzao ktk mazingira mengine ambayo nimeyashuhudia anaenda shamba mpka miezi sita, anazalia nyumbani kwa mkunga wa jadi, hawana kliniki na wanakuwa wazima wao na watoto wao na maisha yanaendelea kama kawaida.
 
I’M THE ALMIGHTY ONE [emoji3516]
NOW AND FOREVER WALAHI [emoji2972][emoji3590]
 
Yesu Kristo na Issa bin mariamu ni watu wawili tofauti,mmoja alikuwa myahudi alizaliwa Bethlehem na Issa nialikuwa Mwarabu alizaliwa huko nchi za uarabuni chini ya mtende!
Ila jaman duh.... Sasa mtende umeingiajeeee hapoooooo
 
Back
Top Bottom