Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Kocha wa AZAM anafanya kusudi AZAM asishinde akicheza na Yanga, no crosses, no long balls, no goal intent, no intensity, kuna wachezaji wa AZAM pia wanakula Rushwa dhidi ya Yanga.Mimi nimegundua kama Yanga wameweza kumpa bahasha kipa wa Azam basi Azam hawana pesa ya kumpa Fei Toto😄
Wewe ni Mbu X 3?Kocha wa AZAM anafanya kusudi AZAM asishinde akicheza na Yanga, no crosses, no long balls, no goal intent, no intensity, kuna wachezaji wa AZAM pia wanakula Rushwa dhidi ya Yanga.
Mbona me nilkua nachangnya na k vant na kunywa fresh kabisa ila now nmeacha tuu.True. Pombe na maziwa hatari. Usije jaribu. .
Mbona me nilkua nachangnya na k vant na kunywa fresh kabisa ila now nmeacha tuu.
I am talking about pombe, not spirited alcohol. .
😊😊 Kuna beer, Kuna pombe, na Kuna spirited alcohol. .Kwani spirit sio pombe?
The dying follows from just vomiting excessively. This is how they made people stop having alcohol. When drunk just feed them milk and they will vomit and nauseate. Just a smell of alcohol will keep bringing the same symptoms, hence stoping having alcohol. .
If you vomit without proper management you eventually might end up dead. I meant literally [emoji4]
we jamaa kama nimekukosea nisamehe sana naona unanishambulia sana. Niko humu kufurahi sio kugombana na watu.Ukiona mtu anandika hence kwenye maelezo yake ya kiingereza huwa inashangaza kdgo hasa akiwa mtu mzima
we jamaa kama nimekukosea nisamehe sana naona unanishambulia sana. Niko humu kufurahi sio kugombana na watu.
Nyuzi zangu naomba upite nazo kule potezea sio lazima ujenge ugomvi au taharuki zisizo na lazima.
Dunia ina watu 7billion usipende kuharibu uwepo wangu ndani ya JF. .
Unapenda ligi kama mtoto mdogo ay unaona kila mtu unalingana nae.Kuna neno gani baya lilioandikwa mpka ukajiona JF ni yako.
Wewe ni nani mpka nyuzi zako au comment yako isiwe quoted?
Sasa unaandika madudu mtu asikurekebishe
Grow up
This is very very true!! Imenitokea kwenye liftUkiwa ndani peke yako ukajamba, ni lazima mtu unayemheshimu atokee ghafla akute harufu ya ushuzi wako
😅😅😅This is very very true!! Imenitokea kwenye lift