Kila Mtu ana Haki ya kupata Ulinzi wa Taarifa zake

Kila Mtu ana Haki ya kupata Ulinzi wa Taarifa zake

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
DP izingatie (3).jpg


Ulinzi wa Taarifa unahusisha kulinda Haki yetu ya msingi ya Faragha kwa kuweka Mifumo ya Uwajibikaji kwa wale wanaochakata Taarifa za Watu.

Wakati Muswada wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi unatarajiwa kufikishwa Bungeni, tunatarajia Sheria hii itazingatia uundwaji wa Chombo Huru cha kusimamia utekelezaji wa Misingi iliyowekwa Kimataifa na Uhuru wa Kujieleza.
 
View attachment 2363316

Ulinzi wa Taarifa unahusisha kulinda Haki yetu ya msingi ya Faragha kwa kuweka Mifumo ya Uwajibikaji kwa wale wanaochakata Taarifa za Watu.

Wakati Muswada wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi unatarajiwa kufikishwa Bungeni, tunatarajia Sheria hii itazingatia uundwaji wa Chombo Huru cha kusimamia utekelezaji wa Misingi iliyowekwa Kimataifa na Uhuru wa Kujieleza.
Sheria za kidunia zinatungwa Kwa Ufadhili wa Wahalifu .
Uhuru wa faragha Kwa jamii isiyo na watu waadilifu ni furaha Kwa Wahalifu.
JPM alidanikiwa sana kudhibiti majizi na majipu Kwa sababu alifanikiwa kudhibiti michongo ya Wahalifu na Magaidi kupitia mitandao .
Mtu muadilifu Hana shaka na uwazi wowote.
 
View attachment 2363316

Ulinzi wa Taarifa unahusisha kulinda Haki yetu ya msingi ya Faragha kwa kuweka Mifumo ya Uwajibikaji kwa wale wanaochakata Taarifa za Watu.

Wakati Muswada wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi unatarajiwa kufikishwa Bungeni, tunatarajia Sheria hii itazingatia uundwaji wa Chombo Huru cha kusimamia utekelezaji wa Misingi iliyowekwa Kimataifa na Uhuru wa Kujieleza.
Hii imekaa vizuri kweli, zipo fursa nyingi nchi imepoteza kwa kukosekana kwa Sheria hii. Aidha, faragha ya mwananchi ni kitu muhimu sana ktk zama hizi za teknolojia kukua.
 
Back
Top Bottom