Kila mtu ana haki ya kutoa maoni. Kwanini Makonda aseme kwamba wastaafu hawaruhusiwi kutoa maoni?

Tatizo hao Wastaafu walipewa madaraka wakashindwa, Wakati wao walikuwa hovyo kabisa hakuna walichokifanya labda wizi na ufisadi na kula bada ulaya,walimaliza mda wao watulie hapo niko upande wa Makonda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…