Kila mtu ana PhD yake katika maisha yake Sasa Kama ndio hivi. Nina PhD ya kumvumilia jirani yangu mkorofi tangu 1970

Kila mtu ana PhD yake katika maisha yake Sasa Kama ndio hivi. Nina PhD ya kumvumilia jirani yangu mkorofi tangu 1970

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Kama ndio Hali ilivyo ya kujigawia PhD Kama akina Tale Tale ambao nao wanajitambulisha Bungeni eti anajiita Dkt.Tale Tale, Basi Kila mtu ajipe udaktari kwa sababu kila mtu amepitia changamoto na kuvumilia Mambo mengi maishani. Hivyo kila mtu ajiite Dkt Sasa. Mimi naitwa Dkt.

Kyambamasimbi Nina PhD ya kumvumilia jirani yangu mkorofi kwenye mipaka ya mashamba na pia Nina PhD ya kuishi na mke Mkorofi sio mchezo.
 
Kama ndio Hali ilivyo ya kujigawia PhD Kama akina Tale Tale ambao nao wanajitambulisha Bungeni eti anajiita Dkt.Tale Tale, Basi Kila mtu ajipe udaktari kwa sababu kila mtu amepitia changamoto na kuvumilia Mambo mengi maishani. Hivyo kila mtu ajiite Dkt Sasa. Mimi naitwa Dkt. Kyambamasimbi Nina PhD ya kumvumilia jirani yangu mkorofi kwenye mipaka ya mashamba na pia Nina PhD ya kuishi na mke Mkorofi sio mchezo.
Hongera sana sana, mbingu ni yako Processor Dr Kyambamasimbi
 
Sasa mkuu kweli unataka kujilinganisha na Babu Tale, au Abood, au unawachukulia powa... sitaki kukudharau lakini tusilazimishe sana kuwa sawa na wenzetu.

Kila mtu ashinde mechi zake, maisha ndo yanatakiwa kuwa hivo
 
Is
Sasa mkuu kweli unataka kujilinganisha na Babu Tale au unamchukulia powa... sitaki kukudharau lakini tusilazimishe sana kuwa sawa na wenzetu.

Kila mtu ashinde mechi zake, maisha ndo yanatakiwa kuwa hivo
Ishu ni udaktari ishu sio ubunge
 
Kama ndio Hali ilivyo ya kujigawia PhD Kama akina Tale Tale ambao nao wanajitambulisha Bungeni eti anajiita Dkt.Tale Tale, Basi Kila mtu ajipe udaktari kwa sababu kila mtu amepitia changamoto na kuvumilia Mambo mengi maishani. Hivyo kila mtu ajiite Dkt Sasa. Mimi naitwa Dkt. Kyambamasimbi Nina PhD ya kumvumilia jirani yangu mkorofi kwenye mipaka ya mashamba na pia Nina PhD ya kuishi na mke Mkorofi sio mchezo.
Haya mambo ya kupachikwa PHD feki za heshima na uprofesa feki wa kivhina kwa viongozi na aliuanzisha Msogaman akiwa ikulu. Yeye aliona kuitwa doctor ndio kungemfanya alingane kielimu na Dr. Slaa kwenye kampeni na uchaguzi wa mwaka 2010 baada ya kuona Dr. Slaa anampumlia kisogoni kwenye mbio za kugombea urais.

Watangulizi wake kina Nyerere, Mwinyi na Mkapa walitunukiwa hizo shahada za PHD za heshima kibao lakini hata siku Moja hatukuwahi kusikia wanaitwa madoctor.

Sasa huyu mama naye kafuata nyayo za mentor wake Msogaman kwa kutunukiwa PHD za mchongo. Sasa hadi masela wanajiita madaktari kwa sababu hata boss wao amepewa PHD ya mseleleko. Tatizo siyo kupewa PHD bali unapewa kwa mchango upi?
 
Haya mambo ya kupachikwa PHD feki za heshima na uprofesa feki wa kivhina kwa viongozi na aliuanzisha Msogaman akiwa ikulu. Yeye aliona kuitwa doctor ndio kungemfanya alingane kielimu na Dr. Slaa kwenye kampeni na uchaguzi wa mwaka 2010 baada ya kuona Dr. Slaa anampumlia kisogoni kwenye mbio za kugombea urais.

Watangulizi wake kina Nyerere, Mwinyi na Mkapa walitunukiwa hizo shahada za PHD za heshima kibao lakini hata siku Moja hatukuwahi kusikia wanaitwa madoctor.

Sasa huyu mama naye kafuata nyayo za mentor wake Msogaman kwa kutunukiwa PHD za mchongo. Sasa hadi masela wanajiita madaktari kwa sababu hata boss wao amepewa PHD ya mseleleko. Tatizo siyo kupewa PHD bali unapewa kwa mchango upi?
Kweli mkuu tunaliangamiza taifa
 
Mkuu msitiri mkeo maana na yeye huenda yapo anayokuvumilia.
It take two to tangle
Hakuna atakayekuwa mkorofi kama hajachokozwa hasa kwa mke na mume
 
Kama kila mtu ana PhD yake,
Ya kwangu itakua Ni ipi mkuu?[emoji15]
 
Back
Top Bottom