Kila mtu ana PhD yake katika maisha yake Sasa Kama ndio hivi. Nina PhD ya kumvumilia jirani yangu mkorofi tangu 1970

Kila mtu ana PhD yake katika maisha yake Sasa Kama ndio hivi. Nina PhD ya kumvumilia jirani yangu mkorofi tangu 1970

Kama ndio Hali ilivyo ya kujigawia PhD Kama akina Tale Tale ambao nao wanajitambulisha Bungeni eti anajiita Dkt.Tale Tale, Basi Kila mtu ajipe udaktari kwa sababu kila mtu amepitia changamoto na kuvumilia Mambo mengi maishani. Hivyo kila mtu ajiite Dkt Sasa. Mimi naitwa Dkt.

Kyambamasimbi Nina PhD ya kumvumilia jirani yangu mkorofi kwenye mipaka ya mashamba na pia Nina PhD ya kuishi na mke Mkorofi sio mchezo.
Dr Kyambamasimbi hongera sana kwa udaktari wa heshima sisi wengine tunarnjoy kuitwa daktari kitambo sana japo sio wa heshima ila ni ujuzi wa mambo mtambuka katika mwili wa binadamu .

Ila nimeipenda hiyo ya uvumilivu
God bless you doctor Kyambamasimbi
 
Kama ndio Hali ilivyo ya kujigawia PhD Kama akina Tale Tale ambao nao wanajitambulisha Bungeni eti anajiita Dkt.Tale Tale, Basi Kila mtu ajipe udaktari kwa sababu kila mtu amepitia changamoto na kuvumilia Mambo mengi maishani. Hivyo kila mtu ajiite Dkt Sasa. Mimi naitwa Dkt.

Kyambamasimbi Nina PhD ya kumvumilia jirani yangu mkorofi kwenye mipaka ya mashamba na pia Nina PhD ya kuishi na mke Mkorofi sio mchezo.
🤣🤣🤣Pole sana
 
Dr Kyambamasimbi hongera sana kwa udaktari wa heshima sisi wengine tunarnjoy kuitwa daktari kitambo sana japo sio wa heshima ila ni ujuzi wa mambo mtambuka katika mwili wa binadamu .

Ila nimeipenda hiyo ya uvumilivu
God bless you doctor Kyambamasimbi
Asante mkuu hongera pia mkuu kwani ya kwako ni halali kabisa sio mtu anatoka tu huko na Mimi daktari wakati watu wamehenya mpaka Basi.
 
Mimi Phd yangu ni kutafuna papuchi yaana full kuchakaa mwanzo mwisho.
 
Ni kweli, nikiwa kama mwalimu pamoja na wenzangu, hatukuwa na phD, Kwa jinsi tulivyofanya kazi tulijiamini tuna phD na ndivyo tulivyo kwa uwezo tulio nao wa kufanya kazi hiyo kwa ufanisi na weledi wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom