DERMO
Member
- Jul 29, 2018
- 11
- 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina miaka 2018 na miezi 9 .Juzi kati niliwasiliana na demu mmoja wa jf, tukakutana pale mlimani city baadae tukakubalina tutoke pamoja nikaiacha vitz yangu parking na tukatumia harrier yake. Nimefika kwake wameniteka kuna mabinti wengine 4. Nalazimishwa kuwagonga kila siku, hawataniachia mpaka wote wabebe mimba!
Nachowaza ni hatima ya ka vitz kangu tu pale parking!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nimemfumania jiwe anaiba dagaa sokoni nikamtandika kwenzi la maana!
tuliwahi jificha wote bafuni kwenye kombolela enzi zile mmepanga kwetu.Kila Mtu Aongee Uongo Wake Hapa Naanza Mimi Nimesoma Na Barack Obama